Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Barnaba, Stamina watikisa Moro

barnabaNA LILIAN JUSTICE, MOROGORO
WASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Elias Barnaba, Rich Mavoko, Golden Mbunda ‘Godzilla’ na Boniventura Kabobo ‘Stamina’, juzi walipagawisha katika tamasha la pongezi kwa Mbunge wa Jimbo wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood, lililofanyika Uwanja wa Jamhuri.
Katika hotuba yake, Abood aliahidi kuunganisha wasanii wa kizazi kipya ili watumie sanaa yao kutoa burudani na elimu kwa mashabiki wao.
Abood aliongeza kwamba, tukio hilo limempa faraja kwa kutambulika...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YOUNG KILLER, BARNABA NA STAMINA WALIVYOTINGISHA DAR LIVE JANA

Barnaba akifungua burudani. Hapa akicheza na kuimba na moja wa mashabiki zake. Young Killer akikamua moja kati ya…

 

10 years ago

GPL

WIZI WA WATOTO WATIKISA MORO

Dustan Shekidele, Morogoro
WIZI wa watoto unazidi kutikisa mkoani hapa ambapo baada ya mwanamke Martha Masawe kuibiwa mwanaye mchanga katika Kliniki ya Nunge Ijumaa iliyopita, Wema Joseph (pichani), mkazi wa Manzese naye ameangua kilio hadharani baada ya kuibiwa mwanaye wa kike aitwaye Elizabeth mwenye umri wa miaka miwili. Mtot Elizabeth aliyedaiwa kuibiwa. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea kwenye saluni ya kike ambayo ipo...

 

9 years ago

Bongo5

Barnaba aanzisha bendi yake ‘Barnaba Classic’

Barnaba ameanzisha bendi yake mwenyewe. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bendi yake ilikuwepo lakini sasa itakuwa na vifaa vya kisasa. “Nina bendi toka muda mrefu ila sasa hivi ndo naifanya official. Naanza kunua vifaa vyangu vya muziki au kama akitokea mtu akaninunulia sio mbaya pi,” amesema. “Bendi itakuwa ni bendi tofauti zingine zote unazozijua. Mimi […]

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Belle 9 ‘Burger Movie Selfie’ iliyoshutiwa Moro na director wa Moro kutambulishwa Trace Urban wiki Ijayo

Belle99

Kabla mwaka 2015 haujaisha, Belle 9 amefanikisha kupiga hatua nyingine ya mafanikio ya muziki wake, ambapo wiki ijayo video ya wimbo wake mpya uitwao “Burger Movie Selfie” itaanza kuoneshwa kwa mara ya kwanza na Trace Urban wiki ijayo.

Belle99

What's up Trace Family! Watch "Burger Movie Selfie" by @bellenine starting next week on @TRACE_Urban channel #325 on @DStv_Kenya

— TRACE East Africa (@TRACEEastAfrica) December 2, 2015

Hii itakuwa ni video ya pili ya Belle 9 kwa mwaka huu na toka ameanza...

 

9 years ago

GPL

STAMINA AWAZAWADIA MASHABIKI WAKE

Mkali wa mistari Kwenzi, Bonaventura Kibogo ‘Stamina’. MKALI wa mistari Kwenzi, Bonaventura Kibogo ‘Stamina’ amewazawadia mashabiki wake wimbo ‘bonus track’ ikiwa ni kuwashukuru kwa kumfikisha alipo na kuwakumbusha historia yake ya muziki na maisha yake kabla na baada ya kutoka kwenye gemu. Stamina ameachia wimbo huo unaokwenda kwa jina la Mr. Bonaventure wikiendi iliyopita siku ambayo alikuwa akisherehekea siku...

 

11 years ago

Bongo5

Kabwela Foundation ya Stamina kuanzisha kipindi cha TV

Msanii wa muziki wa Hip Hop na mmiliki wa Kabwela Foundation taasisi inayojishughulika na masuala ya kutoa misaada kwa wenye mahitaji maalum katika jamii, Stamina, anatarajia kuanzisha kipindi cha TV ili kurusha mambo mbalimbali yanayofanywa na tasisi hiyo. Akizungumza na Bongo5, Stamina amesema taasisi hiyo kwa sasa imekuwa kubwa na inahitaji kipindi cha TT ili […]

 

10 years ago

Bongo5

Darassa ammind Stamina, ni baada ya kuitwa ‘mmbeya’

Wasanii wa Hip Hop, Darassa na Stamina wameingia kwenye mgogoro na kutupiana maneno baada ya Stamina kudaiwa kumuita Darassa ni mmbeya. Darassa amemtaka Stamina aliyewahi kumshirikisha kwenye wimbo wake ‘Mwambie Mwenzio’ kufuta kauli yake aliyoisema kwenye U Heard ya Clouds FM hivi karibuni kuwa ni mmbeya na anatafuta kiki kupitia mgongo wake. Akizungumza na Bongo5 […]

 

10 years ago

Vijimambo

HII NDO KAULI YA 'FID Q' JUU YA 'STAMINA'

Fareed Kubanda aka Fid Q anaamini kuwa Stamina ndiye rapper mkali zaidi jukwaani kwa sasa.Akizungumza kwenye mahojiano na Rasi Fm ya Dodoma, Fid Q amedai kuwa kwenye show nyingi za Fiesta, Stamina amekuwa akifanya maajabu.“Mimi sasa hivi nimekuwa shabiki wa Stamina, tangu Fiesta imeanza mpaka lipofikia hapa wasanii wengi wanafanya vizuri lakini Stamina anafanya vizuri zaidi,” alisema.
“Kwenye ukweli huwa nasema ukweli hiyo ndio Hip Hop, reality au uhalisia. Unajua tunasemaga tunawalisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani