Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Darassa ammind Stamina, ni baada ya kuitwa ‘mmbeya’

Wasanii wa Hip Hop, Darassa na Stamina wameingia kwenye mgogoro na kutupiana maneno baada ya Stamina kudaiwa kumuita Darassa ni mmbeya. Darassa amemtaka Stamina aliyewahi kumshirikisha kwenye wimbo wake ‘Mwambie Mwenzio’ kufuta kauli yake aliyoisema kwenye U Heard ya Clouds FM hivi karibuni kuwa ni mmbeya na anatafuta kiki kupitia mgongo wake. Akizungumza na Bongo5 […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

‘Mimba My Foot’, Zari ammind Wema baada ya kukejeli ujauzito wake

Wema Sepetu anahisi ujauzito wa Zari The Boss Lady ni geresha tu, hakuna lolote! Hii ni kwa mujibu wa picha inayoonekana kuwa iliwekwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na ex wa Diamond Platnumz. Picha hiyo haipo tena lakini Zari alifanikiwa kuipata na kuiweka kwenye ukurasa wake kuelezea alivyosikitishwa na […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ninayo stori ya Msanii wa Bongo Fleva kunusurika kifo baada ya kuitwa mwizi….

Rapper kutoka kwenye zao la Serengeti Fiesta Supa Nyota 2013, Edu Boy amenusurika kifo baada ya kuitwa mwizi maeneo ya Sinza wakati akitoka studio za Freenation kurekodi ngoma. Msanii huyo akiongea kwenye Clouds TV alisema…’Nilikuwa natoka studio kurekodi ngoma ilikuwa usiku nikakutana na vijana watano wakanisimamisha wakaniuliza kuna mtu umekutana naye nikajibu sijakutana na mtu […]

The post Ninayo stori ya Msanii wa Bongo Fleva kunusurika kifo baada ya kuitwa mwizi…. appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

Seli imesitishwa baada ya zogo hadi ffu kuitwa shoprite mlimani city

 Hali iko shwari jioni hii katika shopping Mall ya Mlimani City jijini Dar es salaam baada ya wamiliki wapya wa iliyokuwa Shoprite Stores Nakumatt kuamua kufunga seli iliyozua zogo hata ikabidi leo mchana FFU waitwe kutuliza ghasia. Matangazo yanajieleza nini kitaendelea Jumatatu.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Darassa – Komaa (Rmx)

Darasa - Komaa Remix

Rapper Darassa ameachia wimbo mpya unaitwa “Komaa (Rmx)”, Producer Sajo and Mr Vs

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Darassa Ft. Triple D — Hela

hela artworkWimbo mpya wa rapper Darassa amemshirikisha Triple D unaitwa “Hela”. Studio Masanjuo Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Darassa kuja na mradi wa ‘Magic Muziki’

Rapper Darassa amesema ameamua kuanzisha kundi la muziki liitwalo ‘Magic Muziki’ litakalokuwa likiunganisha wasanii wachanga na ambao atakuwa akiwasaidia kimuziki. Darassa amesema ameamua kuanzisha kundi hilo ili aweze kuwasaidia wasanii hao kwa pamoja. “Tayari kuna project kadhaa nimesharekodi, ngoma nimetunga mimi, nimewapeleka studio madogo na mpaka sasa kazi ipo safi. Hawa wasanii watakuwa wanaitwa Magic […]

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Darassa Ft O’sman — Sio Mbaya

Rapeer Darassa ameachia video yake wimbo wa ‘Sio Mbaya’ aliomshirikisha O’sman. Video hii ilifanyika mkoani Singida pamoja na Dar es Salaam.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Darassa Ft Mr Blue — Heya Haye

Screenshot_2015-11-07-12-50-27-1

Hii ni video mpya ya rapper Darassa amemshirikisha Mr Blue wimbo unaitwa “Heya Haye” video imeongozwa na Hanscana

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani