‘Mimba My Foot’, Zari ammind Wema baada ya kukejeli ujauzito wake
Wema Sepetu anahisi ujauzito wa Zari The Boss Lady ni geresha tu, hakuna lolote! Hii ni kwa mujibu wa picha inayoonekana kuwa iliwekwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na ex wa Diamond Platnumz. Picha hiyo haipo tena lakini Zari alifanikiwa kuipata na kuiweka kwenye ukurasa wake kuelezea alivyosikitishwa na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.
USHAHIDI WA...
10 years ago
Bongo Movies17 Feb
Zari Ajibu Kejeli za Wema Kuhusu Ujauzito Aliyopewa na Diamond!
Mrembo na mjasiliamali kutoka Uganda, Zari Hassan ameonekana kushangazwa na kitendo cha mwigizaji Wema Sepetu kukejeli ujauzizo alionao ambao amepewa na Diamond ambae alikuwa mpezi wa Wema.
Mbali na watu kadhaa ambao wamejinasibisha mitandao kuwa wao hawayapendi mahusiano ya Zari na Diamond kusambaza mtandaoni picha ya Zari ikiwa na maneno ya kejeli kuhusu mimba aliyonayo, Wema nae alishiriki kuiweka picha hiyo yenye maneno ya kejeli yanayosomeka ‘Mimba My Foot” kama yanavyosomeka kwenye...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/iXbY1jhuJ4g/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-W_BwfUMX3Io/VJ5RjDXnzjI/AAAAAAAAEqg/E3ezDaWqktg/s72-c/IMG_0030.jpg)
BAADA YA KUDAIWA KUTOA MIMBA 2 . PENNY: DIAMOND HANA UWEZO WAKUPA MWANAMKE UJAUZITO
![](http://2.bp.blogspot.com/-W_BwfUMX3Io/VJ5RjDXnzjI/AAAAAAAAEqg/E3ezDaWqktg/s640/IMG_0030.jpg)
10 years ago
Bongo512 Feb
Darassa ammind Stamina, ni baada ya kuitwa ‘mmbeya’
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-22308T7_JHQ/VGDpQmv_2RI/AAAAAAAAfJI/DFl-pLNOf1I/s72-c/mkono%2525252Bna%2525252Bpaja.jpg)
KIMENUKA INSTAGRAM LEO, TEAM WEMA WACHARUKA, WAMWEKA MTU KATI DIAMOND BAADA YA TETESI ZA KUTOKA NA ZARI THE LADY BOSS
![](http://lh6.ggpht.com/-22308T7_JHQ/VGDpQmv_2RI/AAAAAAAAfJI/DFl-pLNOf1I/s640/mkono%2525252Bna%2525252Bpaja.jpg)
mfano JOKATE ukisema mnashot video sawa lkn matokeo yake unashot hadi behind de scene, penny...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq*5DPwGM7yMvaYoFKjdr0vqCkuX1uAsNC3bTEQgGYxBCpZZ*didYDzomH1Tgykz-1yx2bABvNcyqREKIMFvYs73/a.jpg?width=650)
ZARI AONYWA VIATU VIREFU NA UJAUZITO
10 years ago
Vijimambo08 Feb
TAZAMA UJAUZITO WA ZARI ULIVYOKUA (PICHA)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/10858536_10206224863845498_4240683327711360665_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/02/1503360_10206225110491664_403076215128371373_n.jpg)