Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Darassa Ft. Triple D — Hela

hela artworkWimbo mpya wa rapper Darassa amemshirikisha Triple D unaitwa “Hela”. Studio Masanjuo Records. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Darassa – Komaa (Rmx)

Darasa - Komaa Remix

Rapper Darassa ameachia wimbo mpya unaitwa “Komaa (Rmx)”, Producer Sajo and Mr Vs

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Hadii Hardname Ft. Darassa & Raymond – Sadaka

cover

Hadii hardname ni msanii anayetokea Tanzania. Akiwa chini ya studio za De Fatality Music kutoka kwa Mesen Selecta. Amechia wimbo mpya unaitwa “Sadaka”, Amewashirikisha Darassa & Raymond. Nyimbo imeandaliwa na Mesen Selecta.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

CHUO CHA MUZIKI CHA TRIPLE J SOUND & MUSIC COLLEGE KIMEFANYA MAHAFALI YAKE YA KWANZA.

Mgeni rasmi Mchungaji Sunday Matondo akitoa hotuba katika mahafali ya kwanza ya chuo cha Muziki cha Triple J. Mkurugenzi wa Chuo cha muziki cha Triple j sound & music college, Dk. Leonard Maboko, akizungumza katika mahafali hayo.Mhitimu wa Chuo cha Triple J akisoma risala kwa mgeni rasmi katika mahafali yao.Afisa Fedha na Utawala wa Chuo cha Trple J, Mrs Leah Chifunda akitoa utambulisho kwa wageni na wazazi katika mahafali.Mkuu wa Chuo cha Triple J, Caleb Mwanjoka akitoa neno la shukrani kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Darassa kuja na mradi wa ‘Magic Muziki’

Rapper Darassa amesema ameamua kuanzisha kundi la muziki liitwalo ‘Magic Muziki’ litakalokuwa likiunganisha wasanii wachanga na ambao atakuwa akiwasaidia kimuziki. Darassa amesema ameamua kuanzisha kundi hilo ili aweze kuwasaidia wasanii hao kwa pamoja. “Tayari kuna project kadhaa nimesharekodi, ngoma nimetunga mimi, nimewapeleka studio madogo na mpaka sasa kazi ipo safi. Hawa wasanii watakuwa wanaitwa Magic […]

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Darassa Ft O’sman — Sio Mbaya

Rapeer Darassa ameachia video yake wimbo wa ‘Sio Mbaya’ aliomshirikisha O’sman. Video hii ilifanyika mkoani Singida pamoja na Dar es Salaam.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Darassa Ft Mr Blue — Heya Haye

Screenshot_2015-11-07-12-50-27-1

Hii ni video mpya ya rapper Darassa amemshirikisha Mr Blue wimbo unaitwa “Heya Haye” video imeongozwa na Hanscana

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Darassa ammind Stamina, ni baada ya kuitwa ‘mmbeya’

Wasanii wa Hip Hop, Darassa na Stamina wameingia kwenye mgogoro na kutupiana maneno baada ya Stamina kudaiwa kumuita Darassa ni mmbeya. Darassa amemtaka Stamina aliyewahi kumshirikisha kwenye wimbo wake ‘Mwambie Mwenzio’ kufuta kauli yake aliyoisema kwenye U Heard ya Clouds FM hivi karibuni kuwa ni mmbeya na anatafuta kiki kupitia mgongo wake. Akizungumza na Bongo5 […]

 

9 years ago

Bongo5

Darassa: Kuachia redioni wimbo wa kwenye mixtape ni udhaifu

12142383_447607855445800_816074488_n

Rapper Darassa amesema kama angeamua kutoa wimbo kutoka kwenye mixtape yake kama wimbo rasmi, angeonesha udhaifu mkubwa.

12142383_447607855445800_816074488_n

Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo alisema ana uwezo wa kutengeneza nyimbo nyingi kali na nyimbo za mixtape zitabaki kuchezwa mtaani peke yake.

“Kweli mixtape yangu watu wanaipenda sana na kila wakisikiliza napata comments zao, lakini maana ya kufanya mixtape ni kuonesha mashabiki wangu nina uwezo kiasi gani wa kufanya chochote kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani