Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizi wa mtandao nchini watikisa sekta ya utalii

Wizi na utapeli kwa njia ya mtandao, umeanza kuitikisa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha baada ya wahalifu wa kimataifa kuingilia mawasiliano ya baruapepe (emails) za mawakala wa utalii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii

__800x800_51d3b4b77dc78

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.

Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU AKARIBISHA WAFANYABIASHARA WA SAUDI ARABIA KUWEKEZA SEKTA YA UTALII NCHINI

 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu (wa pili kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Chemba ya Biashara ya Saudi Arabia Dk. Abdulrahman Al-Zamil (wa tatu kushoto) jijini Riyadh, Saudi Arabia. Wengine katika picha kutoka kulia ni Mshauri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Mamlaka ya Wanyamapori ya Saudia Mohammad Sulayem; Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Prof. Abdillah Omari.  Waziri...

 

5 years ago

Michuzi

SEKTA YA UTALII NCHINI INAPITIA KIPINDI KIGUMU SANA- NAIBU WAZIRI KANYASU

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akizungumza na wananchi wa  Kijiji cha Mahenge mara baada ya kufanya ziara ya kuwasikiliza na kujionea athari zilizosababishwa na wanyamapori wakali na waharibifu walivyoharibu mazao katika mashamba ya Wananchi hao katika mkutano uliofanyika katika wilaya ya Kilolo mkoani Iringa  Naibu Waziri wa Malasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kilolo, Mwajuma Nasombe kabla ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizi watikisa Bunge

MASHINE ya kurushia matangazo ya moja kwa moja na kuchanganya picha, imeibiwa ndani ya ukumbi wa jengo la Bunge katika mazingira ya kutatanisha, Tanzania Daima limebaini. Mashine hiyo (Mixer), mali...

 

10 years ago

GPL

WIZI WA WATOTO WATIKISA MORO

Dustan Shekidele, Morogoro
WIZI wa watoto unazidi kutikisa mkoani hapa ambapo baada ya mwanamke Martha Masawe kuibiwa mwanaye mchanga katika Kliniki ya Nunge Ijumaa iliyopita, Wema Joseph (pichani), mkazi wa Manzese naye ameangua kilio hadharani baada ya kuibiwa mwanaye wa kike aitwaye Elizabeth mwenye umri wa miaka miwili. Mtot Elizabeth aliyedaiwa kuibiwa. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea kwenye saluni ya kike ambayo ipo...

 

9 years ago

Ykileo

WAHALIFU MTANDAO WATIKISA ANGA YA WANAUSALAMA MITANDAO

Wanausalama mtandao kote duniani walikamilisha tukio muhimu sana linalofanyika kila mwezi Oktoba (Cybersecurity Awareness Month) lenye dhamira ya kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao huku ikiaminika kupitia tukio hilo uhalifu mtandao unaweza kupunguzwa kwa asilimia kubwa. Mataifa mengi yakiwa na mafanikio makubwa kutokana na hili ambapo Tanzania pia kupitia baadhi ya Makampuni  ilipata kushiriki.


Wakati bado mafanikio mbali mbali yakijadiliwa wahalifu mtandao wamegundulika kuja na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani