STRABAG BADO HALI TETE
![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpE-g8AtbJatQQ8KoTd-zaJahkWd35RY8Uew11BqGTedh2nY19U3EuhtjlScCsFuj2vAjE6hy*bUMR5Npy2BDjzC/BREAKINGNEWS.gif)
Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRATBAG’ wakiwa katika mgomo. HALI bado si shwari katika kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, ambapo asubuhi hii Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wametanda eneo la ofisi hizo na hakuna mfanyakazi yeyote wa kawaida anayeruhusiwa kuingia ndani. Mgomo huo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 May
Hali bado ni tete Burundi
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Hali bado tete mjini Mandera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe6i0dUA60*YKC1SbibWgd*7u5je8aVbxncPEaXmr72N-DbLFlzqgyR2VDqVpfh7x*z1bDsNbIMrCeSdxA1JsFOr/_78140084_6f33b377bfcb4dd895a4196de63a0706.jpg?width=650)
BADO HALI NI TETE KWA PISTORIOUS
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Hong Kong bado hali tete
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-zViTrULHE8q5l47EoSjekFNwU-adiLJnv9nox1W0EVET06cMLzVeif1FgTnjmxBiteM2EOtUNWtoULAYyen8f/1.jpg)
NDEGE INAYOHOFIWA KUZAMA BAHARINI, HALI BADO TETE
9 years ago
Michuzi31 Aug
HALI YA KIPINDUPINDU MOROGORO BADO TETE IDADI YA WAGONJWA YAONGEZEKA.
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xO33mIAj5iY_y9FpMJXlotqHxShewxng8bTmGXVYrzY7PL0nEahgaSFhGYDhk2GgWvAfmo7ckdYI_JDT0V7xsb4=s0-d-e1-ft#http://www.itv.co.tz/media/image/MORO30.jpg)
Akizungumza na mtandao huu afisa afya mkoa wa Morogoro Carlesilas Lyimo amesema kutokana na kasi ya ongezeko la kipindupindu maafisa afya wamefanya operesheni katika maeneo mbalimbali yanayotoa huduma za chakula na vinywaji na kufanikiwa kukamata na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s72-c/Gwajima.jpg)
Hali ya Gwajima bado tete, Polisi, waumini wavutana hospitali inayofaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s1600/Gwajima.jpg)
Wakati hali ya kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa tete kwa siku mbili mfululizo, Jeshi la Polisi na waumini wa Askofu huyo wanadaiwa kuvutana hospitali inayofaa kumpa matibabu.
Askofu Gwajima, alizimia ghafla juzi majira ya saa 2: 45 usiku akiwa kwenye chumba cha mahojiano katika Kituo cha Polisi Kati, baada...
9 years ago
StarTV05 Sep
Hali bado tete UKAWA Vijana zaidi wazidi kuhama-Tabora.
Siku chache mara baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Dokta Wilbroad Slaa Kujiuzulu na kuamua kuachana na siasa kutokana na kutokuridhishwa na utendaji ndani ya chama hicho baadhi ya vijana wamezidi kukihama chama hicho jambo ambalo linadaiwa kukidhoofisha chama hicho.
Baadhi ya vijana mjini Tabora waliokuwa wanachama wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA wameandamana hadi ofisi ya CCM Wilaya na kudai wanajiunga na chama hicho baada...