Hong Kong bado hali tete
mamia ya waandamanaji wa Hong Kong wanaendelea na maandamano kwa siku ya nne na kudhoofisha maeneo muhimu ya jiji hilo .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maandaamano bado Hong kong :Wanafunzi
Hong Kong imeitisha mazungumzo maalumu na viongozi wa wanafunzi wanaoongoza maandamano.
10 years ago
BBCSwahili17 May
Hali bado ni tete Burundi
Polisi waaminifu kwa rais wa Burundi Pierre Nkurunzinza wanaendelea na misako dhidi ya watu wanoshukiwa kuwa ''wasaliti''
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpE-g8AtbJatQQ8KoTd-zaJahkWd35RY8Uew11BqGTedh2nY19U3EuhtjlScCsFuj2vAjE6hy*bUMR5Npy2BDjzC/BREAKINGNEWS.gif)
STRABAG BADO HALI TETE
Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRATBAG’ wakiwa katika mgomo. HALI bado si shwari katika kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, ambapo asubuhi hii Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wametanda eneo la ofisi hizo na hakuna mfanyakazi yeyote wa kawaida anayeruhusiwa kuingia ndani. Mgomo huo...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Hali bado tete mjini Mandera
Inaarifiwa kuwa idadi kubwa ya wafanyakazi wa serikali wanaoishi katika eneo hilo wameanza kulihama kwa hofu ya usalama wao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ugvao0mAfe6i0dUA60*YKC1SbibWgd*7u5je8aVbxncPEaXmr72N-DbLFlzqgyR2VDqVpfh7x*z1bDsNbIMrCeSdxA1JsFOr/_78140084_6f33b377bfcb4dd895a4196de63a0706.jpg?width=650)
BADO HALI NI TETE KWA PISTORIOUS
Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius (kulia) akiwa na mpenzi wake, Reeva Steenkamp enzi za uhai wake. Kesi ya mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius inaendelea leo siku ya nne mahakama kuu mjini Pretoria, Afrika Kusini chini ya Jaji, Thokozile Masipa huku wakili wa Pistorious, Barry Roux akiendelea kujenga hoja kibao za kumtetea Pistorious. Wakili wa Pistorious, Barry Roux… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq1-zViTrULHE8q5l47EoSjekFNwU-adiLJnv9nox1W0EVET06cMLzVeif1FgTnjmxBiteM2EOtUNWtoULAYyen8f/1.jpg)
NDEGE INAYOHOFIWA KUZAMA BAHARINI, HALI BADO TETE
Vikosi vya uokoaji kutoka nchini China vikielekea eneo inapodaiwa kuzama ndege ya Malaysia aina ya Boeing 777. Meli ya ulinzi ya Vietnam ikiwa kisiwa cha Phu Quoc inapohofiwa kuzama ndege hiyo.…
9 years ago
Michuzi31 Aug
HALI YA KIPINDUPINDU MOROGORO BADO TETE IDADI YA WAGONJWA YAONGEZEKA.
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xO33mIAj5iY_y9FpMJXlotqHxShewxng8bTmGXVYrzY7PL0nEahgaSFhGYDhk2GgWvAfmo7ckdYI_JDT0V7xsb4=s0-d-e1-ft#http://www.itv.co.tz/media/image/MORO30.jpg)
Akizungumza na mtandao huu afisa afya mkoa wa Morogoro Carlesilas Lyimo amesema kutokana na kasi ya ongezeko la kipindupindu maafisa afya wamefanya operesheni katika maeneo mbalimbali yanayotoa huduma za chakula na vinywaji na kufanikiwa kukamata na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s72-c/Gwajima.jpg)
Hali ya Gwajima bado tete, Polisi, waumini wavutana hospitali inayofaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s1600/Gwajima.jpg)
Wakati hali ya kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa tete kwa siku mbili mfululizo, Jeshi la Polisi na waumini wa Askofu huyo wanadaiwa kuvutana hospitali inayofaa kumpa matibabu.
Askofu Gwajima, alizimia ghafla juzi majira ya saa 2: 45 usiku akiwa kwenye chumba cha mahojiano katika Kituo cha Polisi Kati, baada...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania