JESHI LA POLISI LAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Na Demetrius Njimbwi - Jeshi la Polisi
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa semina ya mafunzo ya siku tano yanayotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Dar es salaam, ambapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s72-c/Police1.jpg)
POLISI WAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kwu5EiQUMjY/U-8t4blY7RI/AAAAAAAF__0/1Arv5UIDCI4/s1600/Police1.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo aliyasema jana wakati akifunga semina ya mafunzo ya siku tano yaliyotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi pamoja na wadau wa Jeshi hilo katika mkoa wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0sfxbf0KhRw/U-4qDYj1yQI/AAAAAAAF_5U/GXYG3Gn5PE0/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo semina ya mafunzo ya namna ya kushughulikia makosa ya ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-0sfxbf0KhRw/U-4qDYj1yQI/AAAAAAAF_5U/GXYG3Gn5PE0/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dhvoQqUesyA/U-4qDZVdAfI/AAAAAAAF_5Y/UyqSe7MJxxw/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Tushirikiane kukomesha ukatili kwa watoto
VITENDO vya ukatili kwa watoto nchini vinazidi kushamiri kila siku na mbaya zaidi wahusika wa vitendo hivyo ni ndugu na jamaa zao wa karibu. Hali hii ni ya kusitisha, kwani...
10 years ago
Habarileo03 Apr
Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka
JESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.
9 years ago
StarTV02 Oct
Jeshi la Polisi nchini lajipanga kukabili vurugu
Jeshi la polisi nchini limejipanga kuchukua hatua kwa kikundi ama chama chochote cha siasa kinachotarajia kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya ubunge, udiwani na urais Oktoba 25 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa kauli za baadhi ya watu kuanza kuwahamasisha vijana kutokukubaliana na matokeo kabla muda wa kupiga kura haujafika.
Akizungumza na wadau wa amani mjini Musoma mkoani Mara, mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa jeshi la polisi Ernest Mangu ametoa tahadhari hiyo kwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mpango kukomesha ukatili kwa watoto wazinduliwa
SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na mashirika mbalimbali imezindua mpango wa pamoja wa kukomesha ukatili dhidi ya watoto. Akizungumza katika uzinduzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mwakilishi wa Shirika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-inETHZcs_KU/XuhZfZ42ySI/AAAAAAALt-g/07fmVuCThTIIDEvb6JeAUxEtEjXLncNzgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200615-WA0289.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAJIPANGA KUTOA USHIRIKIANO KWA WAONGOZA UTALII WAKATI HUU WA CORONA
Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha,limejipanga kutoa ushirikiano kwa waongoza utalii mkoani hapa katika kipindi hiki ambacho wanatarajia kuanza kupokea watalii kwa vingi baada ya ugonjwa wa Corona kupungua kwa kiasi kikubwa hapa nchini.
Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku sita ya wadau wa utalii yaliyoandaliwa na chama cha waongoza utalii Tanzania (TSG)jijini hapa,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna alisema kuwa jeshi hilo lipo imara kuimarisha ulinzi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RWFvfYmJctg/VA1s0EjRydI/AAAAAAAGhp8/Uqyg-EfKNDE/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MWANAHARAKATI KHADIJA LIGANGA ATOA SEMINA YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO KWA VIJANA ZAIDI YA 100 JIJINI MWANZA
Semina hiyo iliyoandaliwa na Teen Club Mwanza, ililenga Kujenga uwezo wa kutambua ukatili na unyanyasaji wa...