Jeshi la Polisi nchini lajipanga kukabili vurugu
Jeshi la polisi nchini limejipanga kuchukua hatua kwa kikundi ama chama chochote cha siasa kinachotarajia kufanya vurugu wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya ubunge, udiwani na urais Oktoba 25 mwaka huu kutokana na kuwepo kwa kauli za baadhi ya watu kuanza kuwahamasisha vijana kutokukubaliana na matokeo kabla muda wa kupiga kura haujafika.
Akizungumza na wadau wa amani mjini Musoma mkoani Mara, mkuu wa jeshi la polisi nchini Kamishina wa jeshi la polisi Ernest Mangu ametoa tahadhari hiyo kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Apr
Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka
JESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
JESHI LA POLISI LAJIPANGA KUKOMESHA UKATILI NA UNYANYASAJI WA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-DUqBMtLzwAY/U2ibkNAMIfI/AAAAAAAFf2M/AP28rlbzD00/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Mkuu wa Dawati la Jinsia Nchini Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Adolfina Chialo, amewataka askari wote nchini hususan wale waliopo katika dawati la jinsia kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ili kukomesha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto.
Hayo ameyasema hayo wakati wa ufunguzi wa semina ya mafunzo ya siku tano yanayotolewa kwa Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi katika mkoa wa Dar es salaam, ambapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-inETHZcs_KU/XuhZfZ42ySI/AAAAAAALt-g/07fmVuCThTIIDEvb6JeAUxEtEjXLncNzgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200615-WA0289.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAJIPANGA KUTOA USHIRIKIANO KWA WAONGOZA UTALII WAKATI HUU WA CORONA
Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha,limejipanga kutoa ushirikiano kwa waongoza utalii mkoani hapa katika kipindi hiki ambacho wanatarajia kuanza kupokea watalii kwa vingi baada ya ugonjwa wa Corona kupungua kwa kiasi kikubwa hapa nchini.
Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku sita ya wadau wa utalii yaliyoandaliwa na chama cha waongoza utalii Tanzania (TSG)jijini hapa,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna alisema kuwa jeshi hilo lipo imara kuimarisha ulinzi...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Polisi yatambia uwezo ilionao kukabili vurugu
KAMANDA wa Polisi mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, amesema wanavyo vitendea kazi vya kutosha na vya kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vurugu itakayofanywa na mtu ama kikundi cha watu kwa lengo la kuvuruga mchakato mzima wa uchaguzi mkuu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCxu2LB3sDsIGMleJ9ijNgmmGPLZK7Yy-3I-vuFigcFpJQTCCQ*ezB*J7m5uDw6ArFzRNZuywsoE0RcEc6gxEs3r/KARUME.jpg?width=650)
VURUGU KARUME: JESHI LA POLISI LATUMIA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA MACHINGA DAR
10 years ago
MichuziJeshi la polisi nchini lathibitisha kuwa mlipuko uliowajeruhi askari polisi Songea ni bomu la kienyeji
JESHI la polisi chini limethibitisha kuwa kitu kilichokuwa kinadaiwa kuwa nio bomu lililorushwa mjini Songea mkoani Ruvum Septemba 16 mwaka huu majira ya saa 1.25 usiku katika eneo la Misufini na kuwajeruhi askari polisi watatu kati ya wanne waliokuwa doria kuwa ni bomu la kutupwa kwa mkono...
11 years ago
30 Dec
Raisi Kikwete amteua Kamishna wa Polisi Ernest Mangu kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 |
PRESIDENT’S OFFICE, |
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa ...
9 years ago
StarTV07 Nov
Jeshi la Polisi nchini lapiga marufuku maandamano ya vyama vya Siasa nchini.
Jeshi la Polisi nchini limepiga marufuku ombi la maandamano la baadhi ya vyama vya siasa nchini baada ya uchunguzi wake kubaini kuwepo na mihemko ya kisiasa ndani ya jamii inayoweza kusababisha uvunjifu wa amani.
Kutokana na hali hiyo, jeshi hilo linasema litaendelea kushikilia msimamo wake wa awali wa kuzuia mikutano na maandamano yeyote mpaka hali itakapotengemaa.
Kauli ya Jeshi imefatia baada ya baadhi ya vyama vya siasa kuwasilisha kuwasilisha ombi la kufanya mikutano ya hadhara na...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Jeshi la Magereza lajipanga kujitosheleza chakula cha wafungwa
Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Jeshi la Magereza nchini limejipanga kuanza kujisimamia lenyewe kwa kuwahudumia wafungwa chakula bila ya kuitegemea serikali kutokana na kuwepo na upungufu wa chakula cha kuwahudumia wafungwa hao.
Akizungumzia mpango huo wakati wa kikao cha kujadili rasimu ya mpango wa Jeshi hilo kujitosheleza kwa chakula, Kamishna Jenerali wa Magereza, John Minja amesema wameanzisha mpango huo ili kuipunguzia mzigo serikali kutokana na...