Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS watoa tena video ya mauaji

Kundi la wapiganaji wadola ya Kiislam IS limetoa video inayo onyesha mauaji ya zaidi ya watu 30 raia Ethiopia ambao ni Wakristo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UKATILI: Liwale watoa tamko mauaji ya albino

>Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi, imetoa tamko la kulaani vitendo vinavyoendelea vya kuwaua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kwa imani za kishirikina.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya kinyama tena

WAKATI kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mwanza, Clement Mabina akiua naye kuuawa na wananchi kutokana na mgogoro wa ardhi, watu wengine watatu wameuawa na polisi jana, huku kituo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya wakulima tena Kiteto

MAPAMBANO kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, yanaendelea kushika kasi na kusababisha watu wanne kupoteza maisha. Hali hiyo ilibainishwa na Katibu wa wakulima wilayani hapa,...

 

10 years ago

GPL

UTEKAJI, MAUAJI DAR SI SALAMA TENA

Stori: WAANDISHI WETU
NI kweli Dar si salama tena! Lile sakata la utekaji na mauaji ya watoto, sasa limechukua sura mpya na kulifanya Jiji la Dar kuwa mahali salama kwa kuishi kufuatia kutekwa na kuuawa kwa wasichana wawili na mfanyabiashara mmoja huku watoto wawili wakiwa hawajulikani walipo, Uwazi lina data za kutosha. Marehemu Jack enzi za uhai wake. Kwa nyakati tofauti, gazeti hili limewahi kuripoti mara kadhaa juu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya kutisha yazuka tena Geita

MAUAJI ya kikatili yameibuka tena mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kuvamia maeneo matatu usiku wa Aprili 27 na kuwaua kwa kuwachinja na kutenganisha viungo vyao watu watatu kwa imani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mauaji tena

Watu 78 wameuawa katika mashambulio mawili ya kujitoa mhanga yaliyofanywa sokoni, katika mji wa Maiduguri kaskazini mwa Nigeria.

 

10 years ago

Vijimambo

SUGE KNIGHT MATATANI TENA, ASHITAKIWA KWA MAUAJI

Eneo la Compton, Los Angeles ambapo Suge Knight aligonga mtu na kukimbia.
ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.

Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.

Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili wiki iliyopita katika eneo la kuegesha magari huko Compton, Los Angeles na baadaye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji tena Kiteto, Serikali yawaangukia viongozi wa siasa

WAKATI mkulima Hassan Kondeya ameuawa jana na kundi la wafugaji wa kabila la Masai, Serikali imetoa kauli kuhusiana na hali tete ya mauaji ya mara kwa mara wilayani humo. Akitoa...

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MAUAJI YA ALBINO AARON NONGO YAANZA KUSIKILIZWA TENA

Na Daniel Mbega, Mwanza
KESI ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino) imeanza kusikilizwa tena leo hii kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya kusimama kwa miezi takriban mitano.
Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014 liko mbele ya Jaji Robert Makaramba, ambaye ndiyo kwanza ameanza kulisikiliza baada ya jaji wa awali, Ashery Sumari, kupewa uhamisho.
Washtakiwa katika kesi hiyo walikuwa watano, lakini leo hii mahakama imearifiwa kwamba mmoja – Paulo Budeba Genji maarufu kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani