KESI YA MAUAJI YA ALBINO AARON NONGO YAANZA KUSIKILIZWA TENA
Na Daniel Mbega, Mwanza
KESI ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino) imeanza kusikilizwa tena leo hii kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya kusimama kwa miezi takriban mitano.
Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014 liko mbele ya Jaji Robert Makaramba, ambaye ndiyo kwanza ameanza kulisikiliza baada ya jaji wa awali, Ashery Sumari, kupewa uhamisho.
Washtakiwa katika kesi hiyo walikuwa watano, lakini leo hii mahakama imearifiwa kwamba mmoja – Paulo Budeba Genji maarufu kama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kesi ya Liz yaanza kusikilizwa Kenya
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya Rita Jeptoo yaanza kusikilizwa
10 years ago
Habarileo09 Dec
Kesi ya Ponda yakwama tena kusikilizwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro jana ilishindwa kuanza kusikiliza kesi ya Katibu wa Jumuiya ya Waislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda kutokana na mgongano wa kiutawala na kukosekana kwa nakala ya hukumu ya rufaa iliyompa ushindi Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HkSDUgrMq4o/Uw4OLTH4xfI/AAAAAAAFP1c/UunTmJEISNI/s72-c/TZ_-Cleric.jpg)
KESI YA SHEIK PONDA KUSIKILIZWA TENA MACHI 3,2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-HkSDUgrMq4o/Uw4OLTH4xfI/AAAAAAAFP1c/UunTmJEISNI/s1600/TZ_-Cleric.jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Augustino Mwarija baada ya...
10 years ago
GPLKESI YA KIBONDE, GADNER KUSIKILIZWA TENA NOVEMBA 5 NA 21, 2014
10 years ago
Mwananchi22 Sep
‘Kesi za mauaji ya albino ziharakishwe’
10 years ago
StarTV27 Feb
Kesi ya mauaji ya Albino yasikiliwa Geita.
Na Salma Mrisho,
Geita.
Kesi ya mauaji ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi Zawadi Magindu aliyedaiwa kuuawa kwa kukatwa miguu na mkono mmoja katika kijiji cha Nyamaruru wilayani Geita mwaka 2008 imesikilizwa kwa siku tatu kwenye mahakama kuu ya Mkoa wa Geita.
Kesi hiyo namba 43 ya mwaka 2009 inawahusisha watuhumiwa wanne ambao wanadaiwa kushirikiana katika zoezi la mauaji hayo.
Tukio la kuuawa kwa Zawadi limetokea tarehe 11 Machi mwaka 2008 majira ya usiku katika kijiji cha Nyamaruru.
Kesi hiyo...
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Jaji Mkuu aitaka dola ijipange kesi za mauaji ya albino
9 years ago
Bongo504 Jan
Faith Evans ana imani kesi ya mauaji ya Notorious B.I.G itafunguliwa tena
![faith-evans](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/faith-evans-300x194.jpg)
Faith Evans amedai anaamini kuwa siku moja kesi ya mauaji ya rapper Notorious B.I.G itafunguliwa tena.
Muimbaji huyo aliyeolewa na emcee huyo mzaliwa wa Brooklyn, ametaka kuwepo na msisitizo zaidi katika masuala ambayo hayakupatiwa majibu.
“Tunachoweza kufanya ni kuwa na imani kuwa hiyo itatokea,” Faith aliuambia mtandao wa The Huffington Post alipoulizwa kuhusu Biggie.
“Lakini tuna furaha tu kuwa tupo hapa kuitunza heshima yake na kuhakikisha kuwa watoto wake wana furaha na wanaishi maisha...