Kesi ya Liz yaanza kusikilizwa Kenya
Mshukiwa wa ubakaji aliyekuwa miongoni mwa genge la watu waliombaka Liz na kumtupa ndani ya shimo, inaanza kusikilizwa leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya Rita Jeptoo yaanza kusikilizwa
10 years ago
Michuzi11 May
KESI YA MAUAJI YA ALBINO AARON NONGO YAANZA KUSIKILIZWA TENA
KESI ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino) imeanza kusikilizwa tena leo hii kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya kusimama kwa miezi takriban mitano.
Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014 liko mbele ya Jaji Robert Makaramba, ambaye ndiyo kwanza ameanza kulisikiliza baada ya jaji wa awali, Ashery Sumari, kupewa uhamisho.
Washtakiwa katika kesi hiyo walikuwa watano, lakini leo hii mahakama imearifiwa kwamba mmoja – Paulo Budeba Genji maarufu kama...
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya ugaidi ya Westgate yaanza Kenya
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Hatimaye waliombaka Liz wahukumiwa Kenya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55JLZgFMwKk1YMFt*VtJu2wkDrdpOQDomjjP1dJyYsIfn1I7gGwFVD9hpmnFE-q1uWNv0yVbdePWTBngEr-le8gR/liyumba.jpg?width=650)
HUKUMU YA LIYUMBA YAANZA KUSIKILIZWA
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Maombi ya Sheikh Farid yaanza kusikilizwa
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeanza kusikiliza maombi ya Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43) na wenzake yaliyoomba Mahakama ipitie kesi...
5 years ago
MichuziMASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Kesi ya Ponda kusikilizwa leo
10 years ago
Mtanzania18 May
Kesi ya Wakenya kusikilizwa Arusha
Na Mtua Salira, EANA
KESI ya mauaji na unyang’anyi wa kutumia silaha inayowakabili raia wa Kenya waliotiwa mbaroni nchini Msumbiji na kuhamishiwa Tanzania miaka tisa iliyopita, itasikilizwa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) Arusha Mei, 21, 2015.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na mahakama hiyo mjini hapa jana, ilisema kesi hiyo ijulikanayo kama Onyango na wenzake tisa, wanadaiwa kutenda makosa hayo mjini Moshi na itasikilizwa kwa siku moja.
Wakenya hao...