Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kesi za mauaji ya albino ziharakishwe’

Wadau wa haki za binadamu wamezitaka Mahakama nchini kufanya kazi kwa haki na kuendesha kesi zinazohusiana na mashambulio ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwa haraka ili kutoa funzo kwa wengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Kesi ya mauaji ya Albino yasikiliwa Geita.

Na Salma Mrisho,

Geita.

Kesi ya mauaji ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi Zawadi Magindu aliyedaiwa kuuawa kwa kukatwa miguu na mkono mmoja katika kijiji cha Nyamaruru wilayani Geita mwaka 2008 imesikilizwa kwa siku tatu kwenye mahakama kuu ya Mkoa wa Geita.

Kesi hiyo namba 43 ya mwaka 2009 inawahusisha watuhumiwa wanne ambao wanadaiwa kushirikiana katika zoezi la mauaji hayo.

Tukio la kuuawa kwa Zawadi limetokea tarehe 11 Machi mwaka 2008 majira ya usiku katika kijiji cha Nyamaruru.

Kesi hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Wataka kesi udhalilishaji wa kijinsia ziharakishwe

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakiwemo wale wanaounda Umoja wa Wanawake (Uwawaza) wameitaka Serikali kuchukua juhudi za kupambana na matukio ya udhalilishaji wa kijinsia na kuvitaka vyombo vya sheria ikiwemo mahakama kuharakisha kesi hizo ili zitolewe hukumu zake.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu aitaka dola ijipange kesi za mauaji ya albino

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amevitaka vyombo vya dola vinavyohusika na uhalifu, kujipanga kikamilifu kushughulikia kesi za mauaji na ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi.

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MAUAJI YA ALBINO AARON NONGO YAANZA KUSIKILIZWA TENA

Na Daniel Mbega, Mwanza
KESI ya mauaji ya Aaron Nongo mwenye ulemavu wa ngozi (albino) imeanza kusikilizwa tena leo hii kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza baada ya kusimama kwa miezi takriban mitano.
Shauri hilo namba 213 la mwaka 2014 liko mbele ya Jaji Robert Makaramba, ambaye ndiyo kwanza ameanza kulisikiliza baada ya jaji wa awali, Ashery Sumari, kupewa uhamisho.
Washtakiwa katika kesi hiyo walikuwa watano, lakini leo hii mahakama imearifiwa kwamba mmoja – Paulo Budeba Genji maarufu kama...

 

10 years ago

Mwananchi

MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa

>Mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany amemwomba Rais Jakaya Kikwete kusaini hukumu ya kunyongwa hadi kufa inayowakabili watu wanne waliopatikana na hatia ya kumuua mtu mwenye ulemavu wa ngozi.

 

10 years ago

Michuzi

GABRIEL FUIME AFUTIWA KESI YA MAUAJI NA KUWA MAUAJI BILA KUKUSUDIA

 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime akifikishwa mahakamani wakati wa hatua za awali za kesi hiyo. ------------------------Na Mwene Said wa Globu ya Jamii MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta  mwenendo wa kesi ya mauaji iliyofunguliwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini dhidi aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 11, wanaohusishwa na kuporomoka kwa jingo la ghorofa 16 katika mtaa wa Indira Gandh na kuua watu 27...

 

5 years ago

Michuzi

MSHUKIWA WA MAUAJI YA BINTI WA KAZI KIZIMBANI KWA KESI YA MAUAJI NA MADAWA YA KULEVYA

Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo leo jijini Arusha.Mtuhumiwa wa mauaji wa binti wa kazi Salome Zakaria,Mkami Shirima Akiwa amejifunika gubi gubi la mtandio wa dera akitoka kusikiliza kutajwa kwa kesi hiyo. Pichani ni mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya binti wa kazi akiingizwa kwa hakimu mkazi mfawidhi Analia Mushi kutajwa kwa kesi yake huku akijifunika uso gubigubi kama...

 

11 years ago

Mwananchi

KESI: ‘Ushahidi kesi ya mauaji kikwazo’

>Upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya raia eneo la Magomeni Mikumi, jijini Dar es Salaam, umekiri kuwa hauna ushahidi huru kwa baadhi ya washtakiwa katika kesi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani