Boko Haram wafanya mauaji tena
Watu 78 wameuawa katika mashambulio mawili ya kujitoa mhanga yaliyofanywa sokoni, katika mji wa Maiduguri kaskazini mwa Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Boko Haram wafanya mauaji mapya -Nigeria
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Boko Haram wafanya mashambulizi tena
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Boko Haram wafanya mashambulizi
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Boko Haram wafanya uvamizi Cameroon
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Buhari alaani mauaji ya Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Boko Haram waendeleza mauaji Nigeria
10 years ago
Mtanzania03 Dec
Al-Shabaab wafanya mauaji ya kutisha Kenya
![Kundi la Al-shabaab](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Kundi-la-Al-shabaab.jpg)
Kundi la Al-shabaab
MANDELA, Kenya
MAUAJI ya kutisha yameendelea kutikisa nchini Kenya baada ya jana asubuhi kundi la wanamgambo la Al-Shabaab kuua watu 36 katika machimbo ya mawe huko Koromey, Kaunti ya Mandera.
Watu waliouawa wote hawakuwa Waislamu na wengi wao wanatoka eneo la Chaka, Kiganjo katika Kaunti ya Nyeri.
Shambulio hilo baya lililotokea karibu na mpaka wa Somalia limekuja ikiwa ni wiki moja tu baada ya kundi hilo kuua watu wengine 28 kwenye kaunti hiyo.
Watu hao waliuawa baada...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82839000/jpg/_82839238_82839135.jpg)
11 years ago
TheCitizen11 Jun
Old injustices and Boko Haram