Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram wafanya mauaji tena

Watu 78 wameuawa katika mashambulio mawili ya kujitoa mhanga yaliyofanywa sokoni, katika mji wa Maiduguri kaskazini mwa Nigeria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mauaji mapya -Nigeria

BBC imepata taarifa kuwa zaidi ya watu 20 maeuawa katika mashambulio katika vijiji vya jimbo la Borno.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mashambulizi tena

Watu kadhaa katika mji wa Dille, Kaskazini mwa Nigeria, wameuawa, na wengine kutorokea vijiji jirani baada ya kushambuliwa na Boko Haram.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mashambulizi

Wapiganaji wa Boko Haram,walivamia vijiji viwili Jumamosi na kupandisha bendera yao kwa mara ya tatu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya uvamizi Cameroon

Askari jeshi wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa kundi haramu Boko Haram wameteka watu zaidi ya 60 katika nchi jirani ya Cameroon imethibitika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari alaani mauaji ya Boko Haram

Rais wa Nigeria ametaja mauaji ya watu 150 kama ukatili na ukiukwaji wa kibinadamu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram waendeleza mauaji Nigeria

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram wamekabiliana vikali na wanajeshi huku milipuko na milio ya risasi ikisikika mjini Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

Mtanzania

Al-Shabaab wafanya mauaji ya kutisha Kenya

Kundi la Al-shabaab

Kundi la Al-shabaab

MANDELA, Kenya

MAUAJI ya kutisha yameendelea kutikisa nchini Kenya baada ya jana asubuhi kundi la wanamgambo la Al-Shabaab kuua watu 36 katika machimbo ya mawe huko Koromey, Kaunti ya Mandera.

Watu waliouawa wote hawakuwa Waislamu na wengi wao wanatoka eneo la Chaka, Kiganjo katika Kaunti ya Nyeri.

Shambulio hilo baya lililotokea karibu na mpaka wa Somalia limekuja ikiwa ni wiki moja tu baada ya kundi hilo kuua watu wengine 28 kwenye kaunti hiyo.

Watu hao waliuawa baada...

 

10 years ago

BBC

Boko Haram: What next for the rescued?

Long road to recovery for rescued Boko Haram captives

 

11 years ago

TheCitizen

Old injustices and Boko Haram

On April 14, 2014 a group of deadly armed religious fanatics in Northern Nigeria, Boko Haram, attacked a school hostel in the north-east Nigerian town of Chibok and abducted 234 female students.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani