Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haram wafanya mashambulizi tena

Watu kadhaa katika mji wa Dille, Kaskazini mwa Nigeria, wameuawa, na wengine kutorokea vijiji jirani baada ya kushambuliwa na Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mashambulizi

Wapiganaji wa Boko Haram,walivamia vijiji viwili Jumamosi na kupandisha bendera yao kwa mara ya tatu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mauaji tena

Watu 78 wameuawa katika mashambulio mawili ya kujitoa mhanga yaliyofanywa sokoni, katika mji wa Maiduguri kaskazini mwa Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Boko Haram yakithiri

Maafisa wakuu Nigeria wanasema kuwa Boko Haram, wameshambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Adamawa Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

StarTV

Boko Haram wazidi kufanya mashambulizi.

Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Walioshuhudia mashambulizi hayo wanasema watu tisini na saba wameuawa siku ya Jumatano katika kijiji cha Kukawa kilichopo karibu na Ziwa Chad.

Habari zinasema pia wanaume 48 wamepigwa risasi na wapiganaji katika mashambulizi tofauti siku ya Jumanne.

Mashuhuda wanaokimbia eneo lililopo karibu na Ziwa Chad wanasema idadi kubwa ya wapiganaji wamevamia vijiji vitatu ambapo wameuwa wanaume, wanawake na watoto.

Baadhi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya uvamizi Cameroon

Askari jeshi wanaodhaniwa kuwa wapiganaji wa kundi haramu Boko Haram wameteka watu zaidi ya 60 katika nchi jirani ya Cameroon imethibitika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mauaji mapya -Nigeria

BBC imepata taarifa kuwa zaidi ya watu 20 maeuawa katika mashambulio katika vijiji vya jimbo la Borno.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria

Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti:Boko Hara laipiku IS kwa mashambulizi

Ripoti mpya inasema kuwa kundi la Boko Haram limewapiku washirika wao wa Islamic State kama kundi hatari zaidi lenye msimamo mkali duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yaanza tena Yemen

Muungano unaongozwa na Saudi Arabia umerejelea tena mashambulizi ya angani dhidi ya waasi wa Houthi nchini Yemen

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani