Boko Haram wazidi kufanya mashambulizi.
Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Walioshuhudia mashambulizi hayo wanasema watu tisini na saba wameuawa siku ya Jumatano katika kijiji cha Kukawa kilichopo karibu na Ziwa Chad.
Habari zinasema pia wanaume 48 wamepigwa risasi na wapiganaji katika mashambulizi tofauti siku ya Jumanne.
Mashuhuda wanaokimbia eneo lililopo karibu na Ziwa Chad wanasema idadi kubwa ya wapiganaji wamevamia vijiji vitatu ambapo wameuwa wanaume, wanawake na watoto.
Baadhi...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mashambulizi ya Boko Haram yakithiri
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Boko Haram wafanya mashambulizi
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Boko Haram wafanya mashambulizi tena
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Ripoti:Boko Hara laipiku IS kwa mashambulizi
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Boko Haramu wazidi kuitesa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Boko Haram 70 wauawa .
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74815000/jpg/_74815392_boko-haram-leader.jpg)
Exactly what does the phrase Boko Haram mean?
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80486000/jpg/_80486559_3f12e615-f71b-4d11-ab61-a12107ee8962.jpg)