Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria

Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaendeleza mashambulizi Gaza

Wapalestina 9 wameuawa na Israel wakitizama mchuano wa kombe la Dunia, ndani ya mgahawa mmoja katika mji wa Khan Yunis huko Gaza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq

Marekani imesema kuwa imetekeleza mashambulizi zaidi kazkazini mwa Iraq dhidi ya maeneo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Jihad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yaendeleza mashambulizi makali

Israel imeendeleza mashambulizi dhidi ya wapiganajiwa Hamas katika eneo la Gaza baada ya mashambulizi makali usiku kuamkia leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaendeleza mashambulizi ya anga

Marekani imezindua mfululizo wa mashambulizi mapya ya anga huko Syria

 

11 years ago

BBCSwahili

GAZA:Israel yaendeleza mashambulizi yake

Umoja wa mataifa katika eneo la Gaza unasema kuwa idadi ya raia wa Palestina walioachwa bila makao imefikia elfu arobaini

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi ya Boko Haram yakithiri

Maafisa wakuu Nigeria wanasema kuwa Boko Haram, wameshambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Adamawa Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mashambulizi

Wapiganaji wa Boko Haram,walivamia vijiji viwili Jumamosi na kupandisha bendera yao kwa mara ya tatu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Boko Haram wafanya mashambulizi tena

Watu kadhaa katika mji wa Dille, Kaskazini mwa Nigeria, wameuawa, na wengine kutorokea vijiji jirani baada ya kushambuliwa na Boko Haram.

 

10 years ago

StarTV

Boko Haram wazidi kufanya mashambulizi.

Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Walioshuhudia mashambulizi hayo wanasema watu tisini na saba wameuawa siku ya Jumatano katika kijiji cha Kukawa kilichopo karibu na Ziwa Chad.

Habari zinasema pia wanaume 48 wamepigwa risasi na wapiganaji katika mashambulizi tofauti siku ya Jumanne.

Mashuhuda wanaokimbia eneo lililopo karibu na Ziwa Chad wanasema idadi kubwa ya wapiganaji wamevamia vijiji vitatu ambapo wameuwa wanaume, wanawake na watoto.

Baadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani