Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria
Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Jul
Israel yaendeleza mashambulizi Gaza
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Marekani yaendeleza mashambulizi Iraq
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Israel yaendeleza mashambulizi makali
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Marekani yaendeleza mashambulizi ya anga
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
GAZA:Israel yaendeleza mashambulizi yake
11 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mashambulizi ya Boko Haram yakithiri
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Boko Haram wafanya mashambulizi
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Boko Haram wafanya mashambulizi tena
10 years ago
StarTV03 Jul
Boko Haram wazidi kufanya mashambulizi.
Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Walioshuhudia mashambulizi hayo wanasema watu tisini na saba wameuawa siku ya Jumatano katika kijiji cha Kukawa kilichopo karibu na Ziwa Chad.
Habari zinasema pia wanaume 48 wamepigwa risasi na wapiganaji katika mashambulizi tofauti siku ya Jumanne.
Mashuhuda wanaokimbia eneo lililopo karibu na Ziwa Chad wanasema idadi kubwa ya wapiganaji wamevamia vijiji vitatu ambapo wameuwa wanaume, wanawake na watoto.
Baadhi...