Boko Haramu wazidi kuitesa Nigeria
Boko Haramu waukaribia mji wa Mubi ulioko kaskazini mashariki mwa mji mkuu Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Jul
Ujangili wazidi kuitesa Tanzania
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa.
Na Mwandishi wetu
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa, amemwaga ushahidi namna ujangili unavyofanyika na kushamiri nchini kwa kufanywa na watu waliogawiwa vitalu halali lakini hawafuati sheria za nchi, hivyo kufanya uwindaji haramu huku serikali ikiwa inalifumbia macho suala hilo.
Akiongea na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam, Msigwa alionyesha video ya kampuni ya uwindaji ya green miles safaris limited, inayoonekana...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU
![](http://api.ning.com/files/I0PaAyo4W*YwwIn1Cs4wSJ7UQX6-tbqPWXhJuhT06jd1tBJrjOtunDjEPQUJdnl8qEKqQBoxJ4V*jFVu3XOIPOLBNNnO7v5l/UCHAGUZI.jpg?width=650)
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.
Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.
Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.
Awali tume hiyo ilikuwa...
10 years ago
StarTV03 Jul
Boko Haram wazidi kufanya mashambulizi.
Watu 150 wameuawa baada ya Boko Haram kuvamia kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Walioshuhudia mashambulizi hayo wanasema watu tisini na saba wameuawa siku ya Jumatano katika kijiji cha Kukawa kilichopo karibu na Ziwa Chad.
Habari zinasema pia wanaume 48 wamepigwa risasi na wapiganaji katika mashambulizi tofauti siku ya Jumanne.
Mashuhuda wanaokimbia eneo lililopo karibu na Ziwa Chad wanasema idadi kubwa ya wapiganaji wamevamia vijiji vitatu ambapo wameuwa wanaume, wanawake na watoto.
Baadhi...
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlSJzmt0fT9mEGM2CV-DKtxRUsqj5EHVqym2dvMkzGd2db5O-9n6XDYHAabUzb6t-jie5pWm5rPSUO5zzUYk2HO9/130814210706cameroonpresidentpaulbiyastorytop.jpg)
MATEKA 27 WAACHIWA NA BOKO HARAMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulkfzQZURzKSu9bNEmgM8aDXkw05KQ5NuzrRKYv3b95jC3em-5AqYnGP9RN6ze2zC1NwYJTbk2*3p6yRaJyLqYl-/Meja.jpg?width=650)
KAMANDA MKUU WA BOKO HARAMU AUAWA, NGOME YAO YASAMBALATISHWA
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Tutawakabili Boko Haram:Nigeria
11 years ago
BBCSwahili27 May
Wanajeshi 11 wauawa na Boko:H Nigeria