Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujangili wazidi kuitesa Tanzania

msigwa1

Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa.

Na Mwandishi wetu

Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa, amemwaga ushahidi namna ujangili unavyofanyika na kushamiri nchini kwa kufanywa na watu waliogawiwa vitalu halali lakini hawafuati sheria za nchi, hivyo kufanya uwindaji haramu huku serikali ikiwa inalifumbia macho suala hilo.

Akiongea na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam, Msigwa alionyesha video ya kampuni ya uwindaji ya green miles safaris limited, inayoonekana...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haramu wazidi kuitesa Nigeria

Boko Haramu waukaribia mji wa Mubi ulioko kaskazini mashariki mwa mji mkuu Nigeria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Tembo wazidi kuuawa Tanzania

Maujia ya tembo yameongezeka nchini Tanzania tangia serikali ya nchi hiyo kusitisha Opereshieni tokomeza kutokana na kuwepo madai kwamba kulikuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA

Hali halisi ya eneo la mpakani ambapo raia wanaokimbia kutoka Burundi wamekwama wakisubiri kuvushwa ili kuingia hifadhini nchini Tanzania. Picha na maelezo kwa hisani ya Wavuti

 

9 years ago

Michuzi

UHUSIANO WA TANZANIA NA CHINA WAZIDI KUIMARIKA

Na Beatrice Lyimo-MaelezoSERIKALI imesema itaendeleza uhusiano na ushirikiano wake na Jamhuri ya Watu wa China kwa kuimarisha  fursa mbalimbali za kijamii ikiwemo nyanja ya  kiutamaduni. 
Hayo yamesemwa leo Jumatatu (Oktoba 12, 2015)Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene wakati wa halfa ya uzinduzi wa chaneli mpya ya filamu ya China –Africa Movies itakayoonyeshwa kupitia kituo cha televisheni cha Easy Television kilichopo nchini.
Bw. Mwambene amesema kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam FC yatabiriwa kuitesa Yanga Jumapili

Mchambuzi wa soka, Kenny Mwaisabula na aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars, Mshindo Msola wameitabiria Azam kuondoka na pointi tatu dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumapili hii.

 

11 years ago

Mwananchi

Ebola yaendelea kuitesa Afrika Magharibi

Wakati ugonjwa wa ebola ulipovamia Kijiji cha Pujeh kilichopo nchini Sierra Leona, wanakijiji kama kawaida yao unapotokea ugonjwa wowote hukimbilia kwa mganga wa kienyeji: walikimbilia kwa mganga kutaka kujua tatizo, lakini hakuna aliyepona.

 

10 years ago

Mtanzania

Seif azidi kuitesa CCM Zanzibar

maalim-seifNa Is-haka Omar, Zanzibar

SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kuelezea rafu zilizofanywa wakati wa uandikishaji wapiga kura, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemtaka kufuta ndoto za kuwa rais na badala yake ama ajipange kufanya biashara au shughuli nyingine za kumwingizia kipato.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kwa Mabata Magogoni, Wilaya ya Magharibi Unguja, jana uliotaka kuvurugika kutokana na mawe kuanza...

 

9 years ago

Vijimambo

TANZANIA ONE MUSIC WAZIDI KULITEKA SOKO LA MUZIKI WA MWANZA.

Wasanii kutoka Rock City Mwanza wanaounda kundi la TANZANIA ONE MUSIC ambapo kushoto ni D'Maladha, Katikati ni Lady Shushu na Kulia ni Nyasa Boy.

Na:Binagi Media Group

Ukiwataja wasanii wanaofanya vizuri kutoka Jijini Mwanza, lazima utawataja Nyasa Boy, D'Maladha pamoja na mwanadada Lady Shushu ambao wanaunda kundi la Tanzania One Music ambalo tayari linatesa na ngoma mbili sokoni.

Wasanii hao kupitia kundi hilo, wameweza kuliteka soko la Muziki wa Mwanza kupitia ngoma zao mbili ambazo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani