Ujangili wazidi kuitesa Tanzania
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa.
Na Mwandishi wetu
Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msigwa, amemwaga ushahidi namna ujangili unavyofanyika na kushamiri nchini kwa kufanywa na watu waliogawiwa vitalu halali lakini hawafuati sheria za nchi, hivyo kufanya uwindaji haramu huku serikali ikiwa inalifumbia macho suala hilo.
Akiongea na waandishi wa habari, Jijini Dar es Salaam, Msigwa alionyesha video ya kampuni ya uwindaji ya green miles safaris limited, inayoonekana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Boko Haramu wazidi kuitesa Nigeria
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Tembo wazidi kuuawa Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7zRtwDA0Shs/VQ_hgtHGS6I/AAAAAAAHMWE/Ls4U0PVIKi4/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s72-c/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
RAIA WA BURUNDI WAZIDI KUINGIA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0NPuUIab-xU/VU5KWaBfTEI/AAAAAAAAe7c/kTJYQG1FgVw/s640/CElCboSWoAEJVcC.jpg)
9 years ago
Michuzi12 Oct
UHUSIANO WA TANZANIA NA CHINA WAZIDI KUIMARIKA
Hayo yamesemwa leo Jumatatu (Oktoba 12, 2015)Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene wakati wa halfa ya uzinduzi wa chaneli mpya ya filamu ya China –Africa Movies itakayoonyeshwa kupitia kituo cha televisheni cha Easy Television kilichopo nchini.
Bw. Mwambene amesema kuwa...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Azam FC yatabiriwa kuitesa Yanga Jumapili
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ebola yaendelea kuitesa Afrika Magharibi
10 years ago
Mtanzania16 May
Seif azidi kuitesa CCM Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kuelezea rafu zilizofanywa wakati wa uandikishaji wapiga kura, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemtaka kufuta ndoto za kuwa rais na badala yake ama ajipange kufanya biashara au shughuli nyingine za kumwingizia kipato.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kwa Mabata Magogoni, Wilaya ya Magharibi Unguja, jana uliotaka kuvurugika kutokana na mawe kuanza...
9 years ago
VijimamboTANZANIA ONE MUSIC WAZIDI KULITEKA SOKO LA MUZIKI WA MWANZA.
Na:Binagi Media Group
Ukiwataja wasanii wanaofanya vizuri kutoka Jijini Mwanza, lazima utawataja Nyasa Boy, D'Maladha pamoja na mwanadada Lady Shushu ambao wanaunda kundi la Tanzania One Music ambalo tayari linatesa na ngoma mbili sokoni.
Wasanii hao kupitia kundi hilo, wameweza kuliteka soko la Muziki wa Mwanza kupitia ngoma zao mbili ambazo ni...