UHUSIANO WA TANZANIA NA CHINA WAZIDI KUIMARIKA
Na Beatrice Lyimo-MaelezoSERIKALI imesema itaendeleza uhusiano na ushirikiano wake na Jamhuri ya Watu wa China kwa kuimarisha fursa mbalimbali za kijamii ikiwemo nyanja ya kiutamaduni.
Hayo yamesemwa leo Jumatatu (Oktoba 12, 2015)Jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene wakati wa halfa ya uzinduzi wa chaneli mpya ya filamu ya China –Africa Movies itakayoonyeshwa kupitia kituo cha televisheni cha Easy Television kilichopo nchini.
Bw. Mwambene amesema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Oizhxp_Jiz0/VgKw_ItAC3I/AAAAAAAAub0/n_4ClHTQjjQ/s72-c/Pix%2B1.jpg)
UHUSIANO WA MASUALA YA UTAMADUNI KATI YA TANZANIA NA CHINA WAENDELEA KUBORESHWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Oizhxp_Jiz0/VgKw_ItAC3I/AAAAAAAAub0/n_4ClHTQjjQ/s640/Pix%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-exMPvvIjKTQ/VgKw_74kQuI/AAAAAAAAucA/prROruCxbIE/s640/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Balozi Seif Ali Iddi asema uhusiano kibiashara Zanzibar na mataifa ya Ghuba kuimarika zaidi
Makamu wa Pili wa Rais na Mgeni wake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kimataifa ya Flydubai Bwana Sudhir Sreedhara aliyevaa miwani wakiangalia burudani ya ngoma ya Utamaduni Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar mara baada ya ndege ya Kampuni hiyo kutua kuanza safari zake kati ya Dubai na Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba mafungamano yaliyopo ya Kibiashara baina ya Zanzibar na Mataifa ya Ghuba na Mashariki ya mbali yatazidi kuimarika kufuatia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3y60phYAntY/VCkTkhCUU7I/AAAAAAAGmbE/SGMABOkJGHA/s72-c/CN1.jpg)
Tanzania yaendelea kunufaika na uhusiano mwema ulipo baina yake na Taifa la China.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3y60phYAntY/VCkTkhCUU7I/AAAAAAAGmbE/SGMABOkJGHA/s1600/CN1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6O56ILHt-5I/VCkTlKRSMoI/AAAAAAAGmbU/98s3W3RNqEY/s1600/CN2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fFkimxOxAFw/VCkTlDR0M5I/AAAAAAAGmbI/EzkL7ssG8WI/s1600/CN3a.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HHw5xYhZk1s/Xkr0IpD5OGI/AAAAAAALdz0/mvRMitCj17Qz-WLLXzacCirSdzuNwZ6YQCLcBGAsYHQ/s72-c/c3a19933-3a0b-4a47-b7df-3ce7e62f50fc.jpg)
RAIA WA CHINA WAZIDI KUKUMBANA NA ZUIO LA KUSAFIRI KUDHIBITI KUENEA KWA VIRUSI VYA COVID 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-HHw5xYhZk1s/Xkr0IpD5OGI/AAAAAAALdz0/mvRMitCj17Qz-WLLXzacCirSdzuNwZ6YQCLcBGAsYHQ/s640/c3a19933-3a0b-4a47-b7df-3ce7e62f50fc.jpg)
NUSU ya idadi ya raia wa China ambao wamefikia zaidi wa watu milioni 780 wamekumbana zuio la kusafiri ikiwa ni sehemu ya mlengo wa Mamlaka husika inayoendelea kudhibiti kuenea kwa virusi vya Corona (Covid 19)
Tangu virusi hivyo vimeikumba nchi hiyo takribani watu 1,770 wamepoteza maisha huku watu 70,000 wakiwa wameambukizwa virusi hivyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na shirika la Utangazaji CNN imeelezwa kuwa kumekuwa na zuio la safari na msisitizo kwa watu...
9 years ago
Michuzi21 Aug
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Tanzania na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano
TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA.doc
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nj6IKEgaBBo/UyFxB1_MuNI/AAAAAAAFTUg/balDpRmsQQ4/s72-c/Mr.+Enoch+Osei-Safo+Managing+Director+Ecobank+Tanzania+adressing+invited+guests+at+the+China+Direct+initiative+launch.jpg)
ECOBANK TANZANIA LAUNCHES ‘CHINA DIRECT’ INITIATIVE AND UNVEILS STRATEGIC PARTNERSHIP WITH BANK OF CHINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nj6IKEgaBBo/UyFxB1_MuNI/AAAAAAAFTUg/balDpRmsQQ4/s1600/Mr.+Enoch+Osei-Safo+Managing+Director+Ecobank+Tanzania+adressing+invited+guests+at+the+China+Direct+initiative+launch.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6aR7kfBLk24/UyFxEUh_e9I/AAAAAAAFTU4/AvoJ2qqR-9k/s1600/Mr.+Bertrand+Jandoh,+Regional+Account+Manager+&+Acting+Head+of+Corporate+Banking+at+Ecobank+Tanzania+adressing+guests+at+the+China+Direct+initiative+launch.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g0gDZYwx7Jg/UyFxD2G8HeI/AAAAAAAFTUs/mSQmPdWafhU/s1600/Deputy+Managing+Director+Bank+of+China+-+Zambia+giving+a+speech+at+the+China+Direct+initiative+launch+by+Ecobank+-Tanzania.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7ArUxLxpnMc/UyFxJSo9rLI/AAAAAAAFTVA/_3S5gW69P9k/s1600/Mr.Enoch+Osei-Safo+introducing+Ms.Wenzai+Dai+the+Chinese+liaison+officer+at+the++Ecobank+Tanzania+China+Desk.jpg)