TANZANIA ONE MUSIC WAZIDI KULITEKA SOKO LA MUZIKI WA MWANZA.
Wasanii kutoka Rock City Mwanza wanaounda kundi la TANZANIA ONE MUSIC ambapo kushoto ni D'Maladha, Katikati ni Lady Shushu na Kulia ni Nyasa Boy.
Na:Binagi Media Group
Ukiwataja wasanii wanaofanya vizuri kutoka Jijini Mwanza, lazima utawataja Nyasa Boy, D'Maladha pamoja na mwanadada Lady Shushu ambao wanaunda kundi la Tanzania One Music ambalo tayari linatesa na ngoma mbili sokoni.
Wasanii hao kupitia kundi hilo, wameweza kuliteka soko la Muziki wa Mwanza kupitia ngoma zao mbili ambazo ni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Msanii Bobo Seretsane “Bo” wa Afrika kusini afagilia muziki wa Tanzania, apongeza tamasha Karibu Music!
Msanii nyota wa Afrika Kusini, Bo Denim “Bo” akitumbuiza jukwaani wakati wa tamasha la msimu wa pili la Karibu Music Festival..!
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Mwanamuziki nyota kutoka Afrika Kusini Bo Denim maarufu ‘Bo’ amewashukuru waandaji wa tamasha la Music Festival linalofanyika kila mwaka mjini hapa huku likihusisha vikundi na wanamuziki mbalimbali kutoka mataifaa tofauti ya Afrika nan je ya Afrikaa.
Bo ambaye usiku wa jana Novemba 7, aliweza kupiga shoo hiyo kwa...
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Siasa ina athari soko la muziki?
10 years ago
Michuzi06 Jul
SOKO LA FILAMU NA MUZIKI LAPOROMOKA KWA KASI NCHINI
![SAM_3481](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/ZefivX_aoDottKBoexcdNKJtaDphMuSK6PWbBZca7KSaWkKNB0qU60ppR3UnD4qV-tZcUaIyIpz9jS0jkoz3VRVrXg1x8jVydxOzxr3bRLbAzIM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_3481.jpg)
9 years ago
Bongo514 Dec
Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania
![beka](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/beka-300x194.jpg)
Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.
“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O6T3Sxi-xxc/VAabEhBUg1I/AAAAAAAGcK8/BWBw6DN5yMA/s72-c/Kamnda%2BRas%2BMakunja%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
USHAURI WA KAMANDA RAS MAKUNJA KWA WASANII KUHUSU SOKO LA MUZIKI ULAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-O6T3Sxi-xxc/VAabEhBUg1I/AAAAAAAGcK8/BWBw6DN5yMA/s1600/Kamnda%2BRas%2BMakunja%2Bwa%2BNgoma%2BAfrica%2Bband.jpg)
WASANII LAZIMA WAANGALIE KWA MAKINI MIKATABA NA MUDA KUTUMBUIZA
Baada ya vyombo vya habari kuandikia kwa wingi tukio la fujo zilizotokea wikiendi ya 30.Augost 2014 katika show ya mwanamuziki Diamond, Blog ya jamii na timu ya Michuzi Media imefanya juhudi za kutaka kusikia maoni na mtazamo wa mwanamuziki wa Tanzania aliyeupigania muziki wa Tanzania katika soko la ughaibuni kwa miaka 21 si mwingine bali ni Kamanda ras Makunja wa FFUau...
9 years ago
Bongo510 Oct
Queen Darleen ahofia kutoa nyimbo mpya kutokana na ushindani kwenye soko la muziki
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Skylight Band wazidi kulitikisa jiji la Dar wasajili vifaa vipya akiwemo John Music
Kifaa kipya ndani ya Skylight Band John Music akiimba kwa hisia kaliii huku akipewa sapoti na Wenzake wa kwanza kushoto ni Baby na wa pili kutoka kushoto ni Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 na kulia ni Jessie
Wanaume wa shoka wa Skylight Band kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakionyesha...
10 years ago
GPLSKYLIGHT BAND WAZIDI KULITIKISA JIJI LA DAR WASAJILI VIFAA VIPYA AKIWEMO JOHN MUSIC
9 years ago
MichuziMFUMUKO WA BEI ZA BIDHAA MBALIMBALI WATIKISA SOKO KUU JIJINI MWANZA.
Bei kwa nafaka zote sokoni hapo zimepanda bei hadi shilingi 1,000 kwa kila moja tofauti na hapo awali ambapo bidhaa iliyokuwa ikiuzwa shilingi 15,000 sasa...