Azam FC yatabiriwa kuitesa Yanga Jumapili
Mchambuzi wa soka, Kenny Mwaisabula na aliyewahi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars, Mshindo Msola wameitabiria Azam kuondoka na pointi tatu dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumapili hii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*CmgJiqo*TNY0j2sFvd6zhUfERTlPqI22I1gcvagUrUor1qcEOtc0rhMN7b52M2rxiNKMy3PoV-pvBcKoVMazQa/yangateam.jpg)
YANGA KUIVAA AZAM UWANJA WA TAIFA KESHO JUMAPILI
Kikosi cha Young Africans Sports Club. Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara litafunguliwa kesho kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majia ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans ambayo imekua na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...
10 years ago
Habarileo30 Jul
Simba yatabiriwa makubwa
WADAU wa soka mbali mbali kisiwani Unguja wameitabiria makubwa timu ya Simba kufanya vizuri msimu ujao baada ya kuanza vizuri mechi zake za majaribio kwa kuifunga Kombaini ya Wilaya ya Mjini.
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/lw9n_w9XBds/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s72-c/ferro.jpg)
WAPINZANI WA AZAM FC WATUA DAR KAMILI JIONI HII TAYARI KWA MECHI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-v6Nd5hjplW8/UvT3qlIfGaI/AAAAAAAFLnA/SnXJEFt6FGM/s1600/ferro.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6L-Gjd-5Jb-nkUkxUhoqhnz*CNzvG4WEmwasQf*4hkQtYh2-2ni72urk1ytkKm-Gm6hNHsRjSATH1b78IaWkt6I/879c1e5b00_Yanga.jpg?width=534)
MKUTANO MKUU WA YANGA JUMAPILI
Mkutano Mkuu wa Wanachama wa mabadiliko ya baadhi ya Vipengele kwenye Katiba utafanyika siku ya jumapili Juni Mosi 2014 katika Ukumbi wa Bwalo la Polisi - Oysterbay kuanzia majira ya saa 3 kamili asubuhi huku wanachama wote hai wa klabu ya Young Africans wakiombwa kujitokeza kwa wingi. Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya klabu, Afisa Habari wa Young Africans Bw Baraka Kizuguto amesema mkutano huo wa siku ya jumapili ni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s72-c/YangaSimba.jpg)
KUZIONA SIMBA NA YANGA JUMAPILI HII NI BUKU 7 TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-7luXFOoEHxg/VPnErW1k6kI/AAAAAAAHIDA/r-NZAA8bTk0/s1600/YangaSimba.jpg)
Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).
Viingilio vya mchezo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania