Seif azidi kuitesa CCM Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kuelezea rafu zilizofanywa wakati wa uandikishaji wapiga kura, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemtaka kufuta ndoto za kuwa rais na badala yake ama ajipange kufanya biashara au shughuli nyingine za kumwingizia kipato.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kwa Mabata Magogoni, Wilaya ya Magharibi Unguja, jana uliotaka kuvurugika kutokana na mawe kuanza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
CCM Zanzibar yamshukia Maalim Seif
NA ANTAR SANGALI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina ubia wa sera na CUF katika uendeshaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na Dk. Ali Mohamed Sheni.
Msimamo huo wa CCM, imetokana na kauli ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, kudai hivyo, wakati akihojiwa na kituo kimoja cha luninga, hivi karibuni.
Msimamo huo ulitolewa jana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Itikadi na Uenezi (Zanzibar), Waride Bakari Jabu, wakati akizungumza na...
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Maalim Seif: CCM hawana pakutokea Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwaka huu na CCM hakitakuwa na sehemu ya kutokea.
Maalim Seif aliyasema hayo jana muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar ikiwa ni mara yake ya tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi.
Akiwa amesindikizwa na mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
9 years ago
Habarileo01 Dec
CCM Zanzibar yakanusha kuridhia Seif kuapishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimekanusha taarifa zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii kwamba kimeridhia mgombea urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuapishwa na kukabidhiwa nchi.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s72-c/unnamed.jpg)
Balozi Seif akabidhi kadi kwa wanachama wapya 15 wa CCM Mkoa wa Magharibi,Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YCnQBA2VxJM/U5xOYp9FVgI/AAAAAAAFqo4/TLP3SsP0o9M/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pmoX39HC4RU/VXhAthdxu5I/AAAAAAAHebg/xHr9HxVeL2Y/s72-c/695.jpg)
Balozi Seif Iddi afunga mafunzo elekezi ya siku Tano ya Viongozi na watendaji wa CCM, Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-pmoX39HC4RU/VXhAthdxu5I/AAAAAAAHebg/xHr9HxVeL2Y/s640/695.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fielegRSEJQ/VXhAtroVW-I/AAAAAAAHebc/BopZW8cltb8/s640/696.jpg)
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Makundi, Majungu, Fitina ni sumu kwa Uongozi wa CCM Zanzibar — Asema Balozi Ali Seif Idd
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Jimbo la Mgogoni katika Tawi la CCM Magogoni akiiongoza Timu ya Wajumbe wa Barza la Wawakilishi kupitia CCM ya kuimarisha nguvu za CCM katika Mikoa mbali mbali ya Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Jimbo la Magogoni wakifuatilia hotuba ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif hayupo pichani aliyoitoa wakati wa ziara yake na Wawakilishi wa CCM ndani ya Jimbo hilo.(Picha na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s72-c/232.jpg)
Balozi Seif Idd awaasa wana CCM Zanzibar kuacha tabia ya kupuuza mambo yanayowahusu,ili wasije jutia baadae
![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s1600/232.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkU5lRy3sXU/VIGOHMdm1CI/AAAAAAAG1Yg/DHC8sJj02HE/s1600/224.jpg)
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.
9 years ago
MichuziMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR