CCM Zanzibar yakanusha kuridhia Seif kuapishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimekanusha taarifa zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii kwamba kimeridhia mgombea urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuapishwa na kukabidhiwa nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Nov
CCM yakanusha taarifa za kuridhia kuapishwa kwa Seif
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s72-c/vuai.jpg)
CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA MITANDAONI KWAMBA IMEKUBALI KUMKABIDHI MAALIM SEIF IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s640/vuai.jpg)
Akikanusha Taarifa hiyo mbele ya Waandishi wa Habari Afisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali Vuai amesema taarifa hiyo ni uzushi uliotungwa ili kuwatia taharuki WanaCCM na Wananchi kwa Ujumla.
Amesema toka kusambaa kwa Taarifa hiyo Jana amekuwa akipigiwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
CCM Zanzibar yamshukia Maalim Seif
NA ANTAR SANGALI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina ubia wa sera na CUF katika uendeshaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na Dk. Ali Mohamed Sheni.
Msimamo huo wa CCM, imetokana na kauli ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, kudai hivyo, wakati akihojiwa na kituo kimoja cha luninga, hivi karibuni.
Msimamo huo ulitolewa jana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Itikadi na Uenezi (Zanzibar), Waride Bakari Jabu, wakati akizungumza na...
10 years ago
Mtanzania16 May
Seif azidi kuitesa CCM Zanzibar
Na Is-haka Omar, Zanzibar
SIKU chache baada ya Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Seif Sharif Hamad, kuelezea rafu zilizofanywa wakati wa uandikishaji wapiga kura, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemtaka kufuta ndoto za kuwa rais na badala yake ama ajipange kufanya biashara au shughuli nyingine za kumwingizia kipato.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Kwa Mabata Magogoni, Wilaya ya Magharibi Unguja, jana uliotaka kuvurugika kutokana na mawe kuanza...
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Maalim Seif: CCM hawana pakutokea Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwaka huu na CCM hakitakuwa na sehemu ya kutokea.
Maalim Seif aliyasema hayo jana muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar ikiwa ni mara yake ya tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi.
Akiwa amesindikizwa na mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Maalim Seif: Nasubiri kuapishwa
*EU yataka mshindi Zanzibar atangazwe
Na Mwandishi Wetu, Pemba
MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewata wananchi wa Kisiwa cha Pemba kutembea kifua mbele, kwani anachosubiri ni muda tu ili aweze kuapishwa kuwa rais wa awamu ya nane wa Zanzibar.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya viongozi wa wilaya, majimbo na matawi kisiwani Pemba uliofanyika wilayani Chakechake.
Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s72-c/unnamed.jpg)
Balozi Seif akabidhi kadi kwa wanachama wapya 15 wa CCM Mkoa wa Magharibi,Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-bqeELOv9dyk/U5xOaOuTUKI/AAAAAAAFqo8/mxzZ2qXZSdI/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YCnQBA2VxJM/U5xOYp9FVgI/AAAAAAAFqo4/TLP3SsP0o9M/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pmoX39HC4RU/VXhAthdxu5I/AAAAAAAHebg/xHr9HxVeL2Y/s72-c/695.jpg)
Balozi Seif Iddi afunga mafunzo elekezi ya siku Tano ya Viongozi na watendaji wa CCM, Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-pmoX39HC4RU/VXhAthdxu5I/AAAAAAAHebg/xHr9HxVeL2Y/s640/695.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fielegRSEJQ/VXhAtroVW-I/AAAAAAAHebc/BopZW8cltb8/s640/696.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Balozi Seif Iddi ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya Zambia
Mtoto wa Kizambia Anna Samwel Munata akimkabidhi ua Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ikiwa ishara ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa eneth Kaunda alipohudhuria kuapishwa kwa Rais Mpya wa Nchi hiyo Bwana Edgar Chagwa Lungu.Kulia ni Waziri wa Kazi na huduma za Kijamii wa Serikali ya Jamuhuri ya Zambia Bwana Fackson Shamenda.
Balozi Seif akisalimiana na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania waliopo Lusaka Zanzbia kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda...