CCM yakanusha taarifa za kuridhia kuapishwa kwa Seif
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekanusha taarifa iliyosambazwa kupitia mitandao ya kijamii ya kuridhia Mgombea wa Chama Cha (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad atangazwe kuwa Rais wa Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Dec
CCM Zanzibar yakanusha kuridhia Seif kuapishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimekanusha taarifa zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii kwamba kimeridhia mgombea urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuapishwa na kukabidhiwa nchi.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s72-c/vuai.jpg)
CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA MITANDAONI KWAMBA IMEKUBALI KUMKABIDHI MAALIM SEIF IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s640/vuai.jpg)
Akikanusha Taarifa hiyo mbele ya Waandishi wa Habari Afisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali Vuai amesema taarifa hiyo ni uzushi uliotungwa ili kuwatia taharuki WanaCCM na Wananchi kwa Ujumla.
Amesema toka kusambaa kwa Taarifa hiyo Jana amekuwa akipigiwa...
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Balozi Seif Iddi ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya Zambia
Mtoto wa Kizambia Anna Samwel Munata akimkabidhi ua Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ikiwa ishara ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa eneth Kaunda alipohudhuria kuapishwa kwa Rais Mpya wa Nchi hiyo Bwana Edgar Chagwa Lungu.Kulia ni Waziri wa Kazi na huduma za Kijamii wa Serikali ya Jamuhuri ya Zambia Bwana Fackson Shamenda.
Balozi Seif akisalimiana na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania waliopo Lusaka Zanzbia kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-DddWpOV-h2k/Vjqrla8CBcI/AAAAAAAAXCw/hmh6UJI0dmc/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA YA UKAWA KUTOSHIRIKI SHUGHULI YA KUAPISHWA KWA DR JOHN POMBE MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SeY8l4L54Mk/VOY5DIVxkII/AAAAAAADZ4w/xv_iGXKwP7E/s72-c/20150219_153019.jpg)
TAARIFA KWA UMMA. SERIKALI YA WANAFUNZI CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM-SO) YAKANUSHA KUMPIGIA DEBE LOWASA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SeY8l4L54Mk/VOY5DIVxkII/AAAAAAADZ4w/xv_iGXKwP7E/s1600/20150219_153019.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Jan
CCM yalaani vurugu kuapishwa kwa viongozi Serikali za mitaa
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
IKULU yakanusha taarifa ya gazeti la Mwananchi inayodai “Rais Kikwete analipwa Dola za Marekani 192,000 kwa mwaka”
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika ni hawa hapa”.
Katika habari hiyo ambayo gazeti hilo linadai chanzo chake ni “uchambuzi wa mtandao wa African Review” inadaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, anashilikia nafasi ya tano miongoni mwa viongozi 38 wa nchi za Afrika wanaolipwa mshahara...
9 years ago
Habarileo15 Aug
CCM yakanusha suala la ‘laptop’ kwa kila mwalimu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetolea ufafanuzi suala la Mgombea Urais kupitia chama hicho, Dk John Magufuli kumpa kila mwalimu kompyuta mpakato (Laptop) endapo atashinda katika uchaguzi mkuu.