CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA MITANDAONI KWAMBA IMEKUBALI KUMKABIDHI MAALIM SEIF IKULU
![](http://3.bp.blogspot.com/-8ftq7U0O1M4/VlwzHw6MtLI/AAAAAAADDBk/XH0Ig3jbaTs/s72-c/vuai.jpg)
Chama cha Mapinduzi CCM kimekanusha Taarifa iliyozagaa katika Mitandao ya Kijamii kwamba Chama hicho kimeridhia aliyekuwa Mgombea wa Urais wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akabidhie nchi kuiongoza kwa miaka mitano.
Akikanusha Taarifa hiyo mbele ya Waandishi wa Habari Afisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali Vuai amesema taarifa hiyo ni uzushi uliotungwa ili kuwatia taharuki WanaCCM na Wananchi kwa Ujumla.
Amesema toka kusambaa kwa Taarifa hiyo Jana amekuwa akipigiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Nov
CCM yakanusha taarifa za kuridhia kuapishwa kwa Seif
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-27veS0ydI2k/Xtx-utuNuQI/AAAAAAALs3c/Sms3rAfQ_cQpGaVV_tpl2Yjo_pawEXSAgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9xAlpFp3Efo/VbZYdwAVN9I/AAAAAAAHsG4/rTIJqk6XZGs/s72-c/index.jpg)
IKULU YAKANUSHA TAARIFA YA GAZETI LA MWANANCHI LA JULAI 27, 2015
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://1.bp.blogspot.com/-9xAlpFp3Efo/VbZYdwAVN9I/AAAAAAAHsG4/rTIJqk6XZGs/s200/index.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0mm5xA8qmqw/VlV4wvsu4JI/AAAAAAAIIVU/7UmkSrcWpag/s72-c/IMG_20151125_113810.jpg)
9 years ago
Habarileo10 Nov
Shein, Maalim Seif wateta Ikulu
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), amekutana katika Ikulu ya Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais, Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Uchaguzi Mkuu uliofutwa.
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2RyjG8QpsI/Vnf4Iwcr8vI/AAAAAAAAsFg/TCTSW5o8NV4/s1600/tmp_22871-magu-237045258.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WlHURgwxfTU/Vnf8Iyaif2I/AAAAAAAAsF4/qDY4cCMOytw/s1600/tmp_25140-441627715366.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fz8tYeyt-c/Vnf8KIdhB-I/AAAAAAAAsGA/Qqfph0yUlcg/s1600/tmp_25140-1927664_10204112923663693_1225570115674240119_n942052400.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Er73vFzuxhU/Vnf8L4a_u9I/AAAAAAAAsGI/dg7340mlAuM/s1600/tmp_25140-1927664_10204112924063703_143893749029110821_n1595330905.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXWnDjCKGSSO9SvXTNQUR33zHU9cYmHfgDir5ss6olCHSAPPRkUpP1nSNWhAhGD-lsg3Ao-8s2XsIz9kNs-uK4vE/jk.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAALIM SEIF IKULU JIJINI DAR
9 years ago
Habarileo01 Dec
CCM Zanzibar yakanusha kuridhia Seif kuapishwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimekanusha taarifa zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii kwamba kimeridhia mgombea urais kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuapishwa na kukabidhiwa nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
Rais Kikwete akutana na Maalim Seif Ikulu jijini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-rqRIn_mXFYM/VWrdErwl6DI/AAAAAAAHa7Q/eBh__XY6TJ4/s1600/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dSr0aDUaiZc/VWrdMGcfk_I/AAAAAAAHa7c/4NaRGpNgenY/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F3WAe-kZmtE/VWrdDoOs09I/AAAAAAAHa7M/tqvV_nWu-Zk/s1600/unnamed%2B%252839%2529.jpg)