IKULU yakanusha taarifa ya gazeti la Mwananchi inayodai “Rais Kikwete analipwa Dola za Marekani 192,000 kwa mwaka”
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika ni hawa hapa”.
Katika habari hiyo ambayo gazeti hilo linadai chanzo chake ni “uchambuzi wa mtandao wa African Review” inadaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, anashilikia nafasi ya tano miongoni mwa viongozi 38 wa nchi za Afrika wanaolipwa mshahara...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9xAlpFp3Efo/VbZYdwAVN9I/AAAAAAAHsG4/rTIJqk6XZGs/s72-c/index.jpg)
IKULU YAKANUSHA TAARIFA YA GAZETI LA MWANANCHI LA JULAI 27, 2015
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://1.bp.blogspot.com/-9xAlpFp3Efo/VbZYdwAVN9I/AAAAAAAHsG4/rTIJqk6XZGs/s200/index.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano...
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Ikulu yakanusha Rais kulipwa Dola 16,000 kwa mwezi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s72-c/unnamed+(8).jpg)
JUST IN: IKULU YAKANUSHA HABARI YA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KUMTEMBELEA MFUNGWA MARANDA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u0OqZkbawWA/UxyK5tWr60I/AAAAAAAFSYQ/RmmSYWG-e88/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Michuzi25 Jul
11 years ago
Habarileo10 Mar
Ikulu yakanusha Rais Kikwete kumtembelea Maranda
KURUGENZI ya Mawasiliano Ikulu imekanusha taarifa kwamba Rais Jakaya Kikwete, alimtembelea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili mfungwa, Rajab Maranda anayetumikia kifungo cha miaka 18 gerezani kwa wizi wa fedha za Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfaIq7WcCi7ilkK2psDnts5etpZ2rkYylO4CqSvlb9EL95j0FZt1lbl-rd-natKVfMjjZjR*7MZXDAuD*t-5*G7Q/jk_taifa.jpg?width=650)
IKULU YAKANUSHA RAIS KIKWETE KULIHUTUBIA TAIFA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/nD54_i88gds/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
WHO yatoa vifaa vya dola za Marekani 46,000 kwa serikali ya Tanzania kujihami na Ebola
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (HWO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando, moja ya kompyuta na baadhi ya vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Marekani 46,000 vilivyotolewa na WHO kwa Serikali ya Tanzania Dar es Salaam jana, kwa ajili ya maandalizi ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na ebola.
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini, Rutaro Chatora (kulia), na Katibu Mkuu wa Wizara ya...
10 years ago
VijimamboWHO YATOA VIFAA VYA DOLA ZA MAREKANI 46,000 KWA SERIKALI YA TANZANIA KUJIAMI NA EBOLAâ€