Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Seif: CCM hawana pakutokea Zanzibar

maalimNa Mwandishi Wetu, Zanzibar

MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kupitia  Chama cha Wananchi (CUF)  chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwaka huu na CCM hakitakuwa na sehemu ya kutokea.

Maalim Seif aliyasema hayo jana muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar ikiwa ni mara yake ya tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi.

Akiwa amesindikizwa na mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM Zanzibar yamshukia Maalim Seif


NA ANTAR SANGALI, ZANZIBAR
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakina ubia wa sera na CUF katika uendeshaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inayoongozwa na Dk. Ali Mohamed Sheni.
Msimamo huo wa CCM, imetokana na kauli ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad, kudai hivyo, wakati akihojiwa na kituo kimoja cha luninga, hivi karibuni.
Msimamo huo ulitolewa jana na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Itikadi na Uenezi (Zanzibar), Waride Bakari Jabu, wakati akizungumza na...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi

Naomba samahani natumia simu kuweka machapisho. Hivyo napambana na changamoto kadhaa. Tembelea link hiyo hiyo hapo chini. http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2015/10/151021_maalim-seif

The post Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti — Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi”

The post Sauti – Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi” appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar Bw. Said Ndubugani, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na mamlaka hiyo katika kuimarisha viwanja vya ndege, alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo mbali mbali ya uwanja wa ndege wa Zanzibar katika ziara yake ya kutembelea eneo hilo. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe....

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, MAALIM SEIF AKAGUA UWANJA WA NDEGE NA BANDARI YA MALINDI ZANZIBAR

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar Bw. Said Ndubugani, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na mamlaka hiyo katika kuimarisha viwanja vya ndege, alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo mbali mbali ya uwanja wa ndege wa Zanzibar katika ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe....

 

10 years ago

Mtanzania

Maalim Seif acharuka Zanzibar

maalim seifNA MWANDISHI WETU, PEMBA

MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema ana matumaini makubwa uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu licha ya kauli za baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuashiria kuvurugwa amani na umoja wa kitaifa kwa wananchi wa Zanzibar.

Maalim Seif alitoa tamko hilo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika majimbo ya Chakechake na Wawi uliofanyika katika uwanja wa Ditia Wawi, kisiwani Pemba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta amwangukia Maalim Seif Zanzibar

WAKATI zikiwa zimesalia siku nne kabla ya Bunge Maalumu la Katiba kuahirishwa, Mwenyekiti wa Bunge la Katiba yuko visiwani Zanzibar kwa lengo la kuteta na viongozi wakuu visiwani humo. Ziara...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kikwete akutana na Maalim Seif wa Zanzibar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete amezungumza na makamu wa rais wa Zanzibar ambaye ndiye mgombea Urais kupitia tiketi ya CUF, Maalim Seif

 

10 years ago

Mwananchi

Nitaifanya Zanzibar Singapore - Maalim Seif

Mgombea urais kwa tiketi cha Chama cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad, amerejea ahadi zake za mwaka 1995 kwa kuwahakikishia Wazanzibari kuwa iwapo watampa ridhaa ya kuingia madarakani, ataibadilisha Zanzibar na kuwa Singapore.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani