Sauti — Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi”
The post Sauti – Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi” appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Oct
Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi
Naomba samahani natumia simu kuweka machapisho. Hivyo napambana na changamoto kadhaa. Tembelea link hiyo hiyo hapo chini. http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2015/10/151021_maalim-seif
The post Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Habarileo09 Jun
Bulembo: Ukawa hawana nia njema
MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amewataka wananchi wa hapa kutounga mkono muundo wa serikali tatu.
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Maalim Seif: CCM hawana pakutokea Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF) chini ya mwamvuli wa Ukawa, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema wamejipanga kushinda uchaguzi wa mwaka huu na CCM hakitakuwa na sehemu ya kutokea.
Maalim Seif aliyasema hayo jana muda mfupi baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar ikiwa ni mara yake ya tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi.
Akiwa amesindikizwa na mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
JK ana nia njema lakini dhaifu?
NIMESIKIA mara kadhaa baadhi ya watu wa karibu na Rais Jakaya Kikwete wakisema kwamba; “Hana uwezo wa kusimamia mchakato wa Katiba Mpya.” Miongoni mwao ni Wana CCM ambao hawataki Katiba...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
‘Yanga hawana nia kujenga ghorofa’
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Balozi Seif amponda Maalim Seif
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Keisha: Atangaza Nia,Ataka Sauti Yao Isikike Bungeni
Msanii wa Bongo Fleva ambaye ameshawahi kuigiza kwenye filamu kadha ya kupinga mauwaji ya Albino, Keisha amefunguka kupitia ukurasa wake wa kwenye mtandao wa Instgram sababu na nia yake ya kuingia bungeni mwaka huu,na kwamba wao kama walemavu wa ngozi (Albino) lazima wawe na wawakilishi wa kutosha bungeni ili sauti zetu zisikike ili sheria itungwe na kutekelezwa pia.
Kesha ameandika;
Habari za asubuhi ndugu zangu rafiki zangu mashabiki zangu na media zote nchini.najua wengi mnajiuliza...
10 years ago
Vijimambo03 Jun
Sentensi kumi za Makongoro Nyerere kuhusu yeye na wanawake, ulevi na kutangaza nia.. (Sauti)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/makongoro_charles-1764x700.jpg?resize=572%2C226)
Headlines zenye stori za Siasa zimeendelea kutawala.. Makongoro Nyerere ni Mbunge anaewakilisha TZ kwenye Bunge la Afrika Mashariki, nae alikuwa nyumbani kwao Butiama, hapa nimenukuu sehemu ya kile aichokisema akiwa huko.
Utamsikiliza kwa urefu zaidi kila alichokisema kwenye sauti hii mtu wangu. CREDIT:MILLARDAYO.COM