Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bulembo: Ukawa hawana nia njema

MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amewataka wananchi wa hapa kutounga mkono muundo wa serikali tatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi

Naomba samahani natumia simu kuweka machapisho. Hivyo napambana na changamoto kadhaa. Tembelea link hiyo hiyo hapo chini. http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2015/10/151021_maalim-seif

The post Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti — Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi”

The post Sauti – Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi” appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK ana nia njema lakini dhaifu?

NIMESIKIA mara kadhaa baadhi ya watu wa karibu na Rais Jakaya Kikwete wakisema kwamba; “Hana uwezo wa kusimamia mchakato wa Katiba Mpya.” Miongoni mwao ni Wana CCM ambao hawataki Katiba...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Yanga hawana nia kujenga ghorofa’

>Mdhamini wa klabu ya Yanga, mama Fatuma Karume amesema uongozi wa klabu hiyo hauna nia ya dhati ya kujenga jengo lao lililopo mtaa wa Mafia, Kariakoo.

 

9 years ago

Habarileo

Bulembo azuia Ukawa kutumia uwanja wa CCM

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Abdallah Bulembo amepiga marufuku uwanja wa jumuiya hiyo uliopo eneo la Milango Kumi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kutumika kwa mikutano ya kampeni za siasa kwa vyama vinavyounda umoja wa Ukawa kwani uwanja huo ni rasilimali ya wanaCCM.

 

10 years ago

Habarileo

Mangula- Ukawa hawana jipya

MAKAMU Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amesema, hatua ya vyama vya upinzani vya kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuungana rasmi , Dar es Salaam si jambo jipya.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mangula alisema hii si mara ya kwanza kwa vyama hivyo kuungana na kwamba hatua hiyo haitaweza kubadilisha uwezo wa chama tawala cha CCM.

Alisema mwaka 2000 waliungana katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam na kurusha...

 

9 years ago

StarTV

Mdahalo wa wagombea Ukawa wadai hawana muda kwa sasa

Umoja wa Vyama vinavyounda Ukawa umesema kwa sasa haupo tayari kushiriki midahalo inayoandaliwa na Taasisi za Kijamii kwa wakati ni huu na kupinga kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania, Kajubi Mukajanga kuwa amewapa mwaliko si kweli.

Ukawa wamesema, si kweli kwamba wamepata mwaliko kutoka MCT na kudai kuwa kauli ya kiongozi huyo wa chombo kinachoheshimika ni ya upotosha. 

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam, Mwenyekiti mweza wa Umoja wa Ukawa,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Modewji blog inakutakia furaha njema ya siku ya Ijumaa kuu leo na Pasaka njema

165548_472294617863_703227863_5902108_5247941_n

Zainul A. Mzige, Operation Manager, MODEWJI BLOG, www.modewjiblog.com +255714940992. IMG_20150320_171213 Andrew Chale, Online Editor, Chief Reporter, MO BLOG, www.modewjiblog.com +255719076376

Msomaji wa Modewji blog leo ni siku ya Ijumaa kuu  mtandao huu unaungana  na wakristo wote Duniani katika kuadhimisha siku hii pamoja na sikukuu ya Pasaka.

Mtandao huu unawatakia Sikukuu njema, sherehe njema na tuiadhimishe kwa amani.

Modewji blog pia inapenda kuwakumbusha wazazi kuwa waangalifu na watoto wadogo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wawaponda waliotangaza nia CCM

>Viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wameponda tabia ya makada wa CCM wanaotangaza nia ya kugombea urais kufanya hafla zinazotumia fedha nyingi kwenye jambo dogo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani