Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Yanga hawana nia kujenga ghorofa’

>Mdhamini wa klabu ya Yanga, mama Fatuma Karume amesema uongozi wa klabu hiyo hauna nia ya dhati ya kujenga jengo lao lililopo mtaa wa Mafia, Kariakoo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Bulembo: Ukawa hawana nia njema

MWENYEKITI wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amewataka wananchi wa hapa kutounga mkono muundo wa serikali tatu.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi

Naomba samahani natumia simu kuweka machapisho. Hivyo napambana na changamoto kadhaa. Tembelea link hiyo hiyo hapo chini. http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2015/10/151021_maalim-seif

The post Maalim Seif: Wenzetu hawana nia njema nasi appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Sauti — Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi”

The post Sauti – Maalim Seif “Wenzetu hawana nia njema nasi” appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda ateta na wawekezaji nchini Poland wenye nia ya kujenga hoteli ya kimataifa Zanzibar

123121

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiandika maelezo muhimu wakati akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI (kushoto) akiwasilisha mada kuhusu kampuni yao ambayo inataka kuwekeza Tanzania kwenye kiwanda cha kusafisha dhahabu (gold refinery) na ujenzi wa hoteli ya kimataifa huko Zanzibar. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Mahadhi Juma Maalim na Naibu Waziri wa Fedha, Bw. Mwigulu Nchemba. (Picha na Irene Bwire wa OWM).

123137

 

10 years ago

Vijimambo

UONGOZI WA YANGA WASEMA HAWANA MPANGO WA KUWANUNULIA WACHEZAJI NYUMBA, MAGARI

 Mkuu wa Idara ya Sheria wa Klabu ya Yanga, Frank Chacha akionyesha gazeti lililoandika habari za kununuliwa nyumba na magari kwa wachezaji wa timu hiyo. (Picha na Francis Dande) Msemaji wa Yanga, Jerry Muro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati akikanusha taarifa zilizoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu kununuliwa nyumba kwa wachezaji wa timu hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kona ya Makengeza: Tanza-nia isiwe Tanzia-nia

Jana nilipokuwa nakaa kwenye foleni za maendeleo hapa Bongo na kuangalia full mchepuko wa watu kama kawaida, nikaanza kujiuliza huko makao makuu pasipo na makazi makuu hakuna foleni? Maana wenye nia ni wengi, na wafuasi wao ni wengi, na wapambe wao ni wengi, hakuna foleni kweli huko?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi wa ghorofa wasitishwa

UONGOZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, umezuia ujenzi wa jengo la ghorofa linalojengwa mkabala na Benki ya NMB kutokana na kuwa na nyufa kwenye kuta na nguzo zake. Zuio...

 

9 years ago

Mwananchi

Ghorofa la Sh500milioni labomolewa

Oparesheni ya bomoabomoa imeendelea kutikisa jijini Dar es Salaam huku ikiacha vilio na simanzi kwa wamiliki wa nyumba, likiwamo ghorofa mali ya mfanyabiashara lililojengwa kwa Sh500 milioni miaka 20 iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya ghorofa yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani