UONGOZI WA YANGA WASEMA HAWANA MPANGO WA KUWANUNULIA WACHEZAJI NYUMBA, MAGARI
Mkuu wa Idara ya Sheria wa Klabu ya Yanga, Frank Chacha akionyesha gazeti lililoandika habari za kununuliwa nyumba na magari kwa wachezaji wa timu hiyo. (Picha na Francis Dande)
Msemaji wa Yanga, Jerry Muro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, wakati akikanusha taarifa zilizoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuhusu kununuliwa nyumba kwa wachezaji wa timu hiyo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
10 years ago
MichuziMAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Wachezaji 7 wa Costa Rica hawana doa
Wachezaji 7 wa Costa Rica waliolazimishwa kupimwa mkojo baada ya mechi ya Italia hawakutumia dawa.
10 years ago
GPLWAZUNGU WASEMA Mliberia Yanga anatafutwa Ulaya
Mshambuliaji hatari wa Simba, Kpah Sherman. Na Saleh Ally
WAKATI Yanga ikiwa katika maandalizi ya mwisho kuwavaa Azam FC katika mechi ya Ligi Kuu Bara, jambo jipya limeibuka kuwa yule mshambuliaji wake hatari, Kpah Sherman raia wa Liberia, anatuhumiwa kutoroka kazini nchini Cyprus. Taarifa kutoka Cyprus barani Ulaya kwa mmoja wa Watanzania wanaoishi nchini humo zimeeleza vyombo vya habari nchini humo, vimeripoti kuwa Mliberia...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
‘Yanga hawana nia kujenga ghorofa’
>Mdhamini wa klabu ya Yanga, mama Fatuma Karume amesema uongozi wa klabu hiyo hauna nia ya dhati ya kujenga jengo lao lililopo mtaa wa Mafia, Kariakoo.
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Matalena: Netiboli imenipa kazi, nyumba, magari
“Vitu hivi ni mafanikio tosha kwangu kwani bila ya kuwa na kipaji cha kucheza netiboli sijui leo ningekuwa wapi kwani licha ya kazi niliyonayo kuniwezesha kuishi mjini, pia najivunia vitu hivyo nilivyonavyo,†anasema Matalena ambaye ni mtoto wa nne kuzaliwa kati ya wanane kwenye familia yao.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K-nUa0MYw0I/U94EIoGnxDI/AAAAAAAF8lE/kxUlTTV_nr4/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast wamuomba radhi Balozi Seif Ali Idd
Uongozi na wachezaji wa Timu ya Soka ya African Coast ya Kijiji cha Upenja umemuomba radhi Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi kufuatia uamuzi wa Timu hiyo kuruhusu kufanyika kwa Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Upinzani uliozaa kashfa na matusi dhidi ya mbunge huyo.
Wachezaji hao waliomba radhi hiyo Mbele ya Mbunge huyo hapo katika Ukumbi wa Tawi la CCM la Kijiji cha Upenja kilichomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B “ mkutano uliohudhuriwa pia na Wazee na baadhi ya...
Wachezaji hao waliomba radhi hiyo Mbele ya Mbunge huyo hapo katika Ukumbi wa Tawi la CCM la Kijiji cha Upenja kilichomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “B “ mkutano uliohudhuriwa pia na Wazee na baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DxqhicFPkOY/VGhqaq6y1dI/AAAAAAAAJWw/98imPS8OxNo/s72-c/IMG_20141115_103549.jpg)
WAFUGAJI WAVAMIA ENEO LA MWEKEZAJI ,WACHOMA NYUMBA ,MAGARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DxqhicFPkOY/VGhqaq6y1dI/AAAAAAAAJWw/98imPS8OxNo/s640/IMG_20141115_103549.jpg)
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Siha ,Rashid Kitambulilo akimuongoza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama wakati akitembelea eneo la mwekezaji la Tanganyika Film and Safari ambako wafugaji jamii ya Masai wanadaiwa kufanya uharibifu mkubwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oumzJQSJbkA/VGhqbgBZYLI/AAAAAAAAJW4/RCDFFkpx4BA/s640/IMG_20141115_103607.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--KNZlfIlGfg/VGhqchtngTI/AAAAAAAAJXA/FPaiWjrmcKc/s640/IMG_20141115_103629.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TXeLALplltw/VGhqfCYspYI/AAAAAAAAJXM/0nBWFwtkWpo/s640/IMG_20141115_103741.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania