MAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA
Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi Moshi vijijini ,Hussein Jamal akizungumza wakati wa kikao cha makatibu kata na makatibu wa matawi kilichofanyika katika hotel ya King Size Himo.
Mwenyekiti wa Makatibu katika jimbo la Vunjo ,Shaban Mwangi akisoma taarifa ambayo inadaiwa kupikwa kwa lengo la kukivuruga chama hicho katika jimbo la Vunjo.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Moshi vijijini Miriam Kaaya akizungumza wakati wa kikao hicho ambacho kilijadili pia tuhuma zilizotolewa dhidi yake.
Naibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0005.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200216-WA0005.jpg)
Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LFlMpSmOZew/VFiv_vt5V-I/AAAAAAACuVo/h6NbULc5Ekc/s72-c/IMG_4530.jpg)
MAKATIBU WA CCM VUNJO WATAKA KUBWAGA MANYANGA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LFlMpSmOZew/VFiv_vt5V-I/AAAAAAACuVo/h6NbULc5Ekc/s1600/IMG_4530.jpg)
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, viongozi hao ngazi ya kata katika wilaya ya Moshi vijijini, walisema migogoro na malumbano ndani ya CCM imekuwa chanzo cha wapinzani kushinda kiurahisi katika Jimbo la Vunjo. Mmoja wa viongozi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3z-sGvrcsy8/Va-A_rKCHYI/AAAAAAAHrA4/a-65g-ZwCHY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yH5rTfyjFA8/Va-A_XtUkII/AAAAAAAHrA0/Vdfh-sdz7hg/s640/2.jpg)
10 years ago
StarTV17 Oct
CCM yatefanya uteuzi wa makatibu wa Wilaya 27.
Na Blaya Moses, Dodoma.
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi ccm imeendelea na kikao chake mjini dodoma kwa kuwateua makatibu wa wilaya ishirinini na saba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wengine kufariki dunia na kumaliza muda wao wa utumishi ndani ya chama
Aidha kikao hicho pia kimejadili namna chama hicho kitakavyojipanga ili kuhakikisha kinaibuka na ushindi katika uchaguzi wa seriakli za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
27 wateuliwa kuwa makatibu wa CCM wilaya
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xO_CuFTxhJU/VD-C1CgiOEI/AAAAAAAASWA/mEwRxwWfa1o/s72-c/3.jpg)
27 WATEULIWA KUWA MAKATIBU WAPYA WA CCM WILAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xO_CuFTxhJU/VD-C1CgiOEI/AAAAAAAASWA/mEwRxwWfa1o/s1600/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e7rsM64o65I/VRLwyPD-cKI/AAAAAAAC2QY/LBct_5JqHeY/s72-c/2.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA VUNJO MKOANI KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-e7rsM64o65I/VRLwyPD-cKI/AAAAAAAC2QY/LBct_5JqHeY/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--xJLRPahqPk/VRLwy8fPTeI/AAAAAAAC2Qg/wVN9UlH-24Q/s1600/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TxMC9i95Xhc/XkhIsAScs6I/AAAAAAALdiI/mOe2ECTWQS8gcWPvJ_F__OqZljaOmseZACLcBGAsYHQ/s72-c/b5597a06-98da-49d1-97c6-ba449f8f5e6a.jpg)
DKT. BASHIRU ATOA ONYO KWA MAKATIBU WA CCM WA WILAYA NA MIKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxMC9i95Xhc/XkhIsAScs6I/AAAAAAALdiI/mOe2ECTWQS8gcWPvJ_F__OqZljaOmseZACLcBGAsYHQ/s640/b5597a06-98da-49d1-97c6-ba449f8f5e6a.jpg)
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji wa Mikoa na Wilaya kutotilia mkazo maagizo hayo yanayolenga kuwajali na kuwaweka karibu mabalozi wa mashina ambao ndio viungo muhimu na wanafanya kazi kubwa ya kukiletea ushindi Chama Cha...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s1600/PIX%2B1.jpg)