CCM yatefanya uteuzi wa makatibu wa Wilaya 27.
Na Blaya Moses, Dodoma.
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi ccm imeendelea na kikao chake mjini dodoma kwa kuwateua makatibu wa wilaya ishirinini na saba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wengine kufariki dunia na kumaliza muda wao wa utumishi ndani ya chama
Aidha kikao hicho pia kimejadili namna chama hicho kitakavyojipanga ili kuhakikisha kinaibuka na ushindi katika uchaguzi wa seriakli za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
27 wateuliwa kuwa makatibu wa CCM wilaya
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC mjini Dodoma.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xO_CuFTxhJU/VD-C1CgiOEI/AAAAAAAASWA/mEwRxwWfa1o/s72-c/3.jpg)
27 WATEULIWA KUWA MAKATIBU WAPYA WA CCM WILAYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-xO_CuFTxhJU/VD-C1CgiOEI/AAAAAAAASWA/mEwRxwWfa1o/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog31 Dec
Rais Magufuli afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu na Kaimu Naibu Kamishn TRA Nchini!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu Ikulu jijini Dar es Salaam jioni ya leo December 30, 2015. Kushoto ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, na kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakisikiliza kwa makini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
Katibu Mkuu...
10 years ago
Vijimambo06 Nov
Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu Wakuu wanne wapya na kuhamisha mmoja.
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wa Wizara kwa kuteua Makatibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TxMC9i95Xhc/XkhIsAScs6I/AAAAAAALdiI/mOe2ECTWQS8gcWPvJ_F__OqZljaOmseZACLcBGAsYHQ/s72-c/b5597a06-98da-49d1-97c6-ba449f8f5e6a.jpg)
DKT. BASHIRU ATOA ONYO KWA MAKATIBU WA CCM WA WILAYA NA MIKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxMC9i95Xhc/XkhIsAScs6I/AAAAAAALdiI/mOe2ECTWQS8gcWPvJ_F__OqZljaOmseZACLcBGAsYHQ/s640/b5597a06-98da-49d1-97c6-ba449f8f5e6a.jpg)
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji wa Mikoa na Wilaya kutotilia mkazo maagizo hayo yanayolenga kuwajali na kuwaweka karibu mabalozi wa mashina ambao ndio viungo muhimu na wanafanya kazi kubwa ya kukiletea ushindi Chama Cha...
10 years ago
MichuziMAKATIBU WA CCM VUNJO WASEMA HAWANA UGOMVI NA KATIBU WAO WA WILAYA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s72-c/unnamed%2B(63).jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3UUPussstE/VQMIiB-bG7I/AAAAAAAHKHE/jask2kPL2s8/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AKABIDHI PIKIPIKI 35 KWA MAKATIBU KATA WA CCM WILAYA YA NACHINGWEA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-iJmhBxWDFS4/VQLq-thCewI/AAAAAAADcDE/Uy0S2fbBRtM/s1600/PIX%2B1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200216-WA0005.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4DgVQJHDUQ/Xkixa7Mjd4I/AAAAAAACHq0/dMFRgfHh-Y0MJZo8ZcbxgViD4URfH_BEwCLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200216-WA0005.jpg)
Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.
Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...