KATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA
Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wagombea wa Uwakilishi, Ubunge na Udiwani wa CUF katika ukumbi wa Majid, Kiembesamaki.
Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi wa CUF Omar Ali Shehe akizungumza katika mkutano na wagombea wa Uwakilishi, Ubunge na Udiwani wa CUF katika ukumbi wa Majid, Kiembesamaki.
Baadhi ya wagombea Uwakilishi, Ubunge na Udiwani wa CUF Unguja wakijitokeza kwenye mkutano huo (Picha na Salmin Said, OMKR)
Na: Hassan Hamad, OMKR
Katibu Mkuu wa Chama Cha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MAALIM SEIF ACHUKUA FOMU YA KUWANIA NAFASI YA KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF
![](http://4.bp.blogspot.com/-0u2dgA8E0vg/U3_R-1_m0WI/AAAAAAAFksA/96TTOEuT9Wo/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JlF5HB_U_gY/U3_R-3wEE4I/AAAAAAAFksI/0YXGvznddmc/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-boB3ySG_qXs/U3_R_Oqet_I/AAAAAAAFksE/dguPD8w66Ow/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s72-c/961.jpg)
BALOZI SEIF ATANGAZA NIA YA KUWANIA UWAKILISHI KUPITIA JIMBO JIPYA LA MAHONDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s640/961.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Dec
Katibu Mkuu EAC awapa somo wahandisi
KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Richard Sezibera amewataka wahandisi wa nchi wanachama, kuhakikisha wanatumia taaluma yao kuboresha maisha ya wananchi wa vijijini kwa kutengeneza miundombinu ya umeme wa nishati ya jua kwa bei nafuu na kuwapatia maji safi na salama.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-geRlRnCOH_I/VRmq2YrYDXI/AAAAAAAHOcQ/VK77SXrp6Ug/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA MFUASI WA CHAMA CHA CUF ALIEFARIKI KWA AJALI, UNGUJA
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad, akimtambulisha Mansour Yussuf Himid kwa wanachama na wapenzi wa CUF Kiembesamaki, Unguja, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-NpHI6hdhtPs/VQ7nQcVkTBI/AAAAAAAHMOI/djwll7rAVik/s1600/unnamed%2B(61).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p1dvjgONdeg/VQ7nPLRXu5I/AAAAAAAHMOA/jfx-qJ4EJTA/s1600/unnamed%2B(62).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-DL5gBZbwS8c/VQ7nRV5NkII/AAAAAAAHMOU/Ge0grmUQWyY/s1600/unnamed%2B(63).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-p9i-w94Y6O4/VQ7nQnJsOxI/AAAAAAAHMOM/dVo6dNlFNzw/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
10 years ago
MichuziMaalim Seif akutana na wanachama walioomba kugombea nafasi za Ubunge kupitia CUF
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF) Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka wagombea wa nafasi mbali mbali ndani ya chama hicho kujenga imani na kamati za uteuzi za kuwapata wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Amesema kamati zote zilizoteuliwa kufanya kazi hiyo zitafanya kazi zake kwa umakini bila ya kujali wadhifa au umaarufu wa mgombea.
Maalim Seif ameeleza hayo katika kikao maalum cha kupeana nasaha na wanachama walioomba kugombea nafasi za...
11 years ago
Mwananchi23 Jun
Maalim Seif mgombea pekee ukatibu mkuu CUF
10 years ago
VijimamboKatibu wa CUF Maalim Seif Akanusha kuhama kwa Mwenyekiti wake Mhe Pro. Ibrahim Lipumba.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekanusha taarifa za kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Chama hicho Profesa Ibrahim Haruna Lipumba.
Amesema akiwa Katibu Mkuu wa Chama hicho, hajapokea taarifa zozote za kujiuzulu kwa Prof. Lipumba, na kwamba hadi saa nne za usiku wa jana Jumatatu ya tarehe 03/08/2015, alikuwa na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-O_A8mWGyAuI/U4jLFc3oBGI/AAAAAAAFmls/kJO81aOmWQg/s72-c/unnamed+(42).jpg)
MAALIM SEIF AREJESHA FOMU KUGOMBEA UKATIBU MKUU CUF