Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI SEIF ATANGAZA NIA YA KUWANIA UWAKILISHI KUPITIA JIMBO JIPYA LA MAHONDA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiagana na Wajumbe wa Kamati za siasa za Mkoa wa Kaskazini Unguja, Wilaya ya Kaskazini B Jimbo la zamani la Kitope na Kamati tekelezaji za UWT na Vijana ambao alifanya kazi nao pamoja katika kipindi cha miaka 10 akiwa Mbunge wa Jimbo la zamani la Kitope.Kulia ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “B” Nd. Hilika Ibrahim Khamis na kushoto ya Balozi Seif ni Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja ambae pia ni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF ACHUKUA FOMU KUWANIA UWAKILISHI JIMBO LA MAHONDA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Fomu na Katibu wa CCM Wilaya ya Kaskazini “B “ Bibi Subira Mohammed kuomba ridhaa kwa CCM kugombea Uwakilishi Jimbo Jipya la Mahonda.Katibu wa Chama cha Mapinduzi {CCM} Wilaya ya Kaskazini “B “ Bibi Subira Mohammed akimpatia maelezo Balozi Seif mara baada ya kumkabidhi Fomu kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kugombea Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda hapo Ofisi ya CCM Wilaya hiyo Mahonda.
Balozi Seif...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF ARUDISHA FOMU YA KUWANIA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI JIMBO LA MAHONDA

Vijana wa Umoja wa Mapiki piki Wa CCM Wilaya ya Kaskazini “B” wakimsindikiza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati akirehesha fomu za kuwania kugombea uwakilishi Jimbo la Mahonda.Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi Fomu za kuwania kugombea Ujumbe wa Baraza la Wawakilushi Jimbo la Mahonda kwa Afisa wa Uchaguzi Wilaya ya Kaskazini “B” Nd. Makame Pandu Khamis ofisi ya Tume hiyo iliyopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja.
Baadhi ya Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wa Jimbo la...

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU WA CUF MAALIM SEIF AWAPA SOMO WALIOONYESHA NIA YA KUWANIA UBUNGE, UWAKILISHI NA UDIWANI UNGUJA

Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wagombea wa Uwakilishi, Ubunge na Udiwani wa CUF katika ukumbi wa Majid, Kiembesamaki. Mkurugenzi wa Mipango na Chaguzi wa CUF Omar Ali Shehe akizungumza katika mkutano na wagombea wa Uwakilishi, Ubunge na Udiwani wa CUF katika ukumbi wa Majid, Kiembesamaki.
Baadhi ya wagombea Uwakilishi, Ubunge na Udiwani wa CUF Unguja wakijitokeza kwenye mkutano huo (Picha na Salmin Said, OMKR)

      Na: Hassan Hamad, OMKR 

Katibu Mkuu wa Chama Cha...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AJITAMBULISHA KWA VIONGOZI WA KAMATI ZA SIASA ZA CCM JIMBO LA MAHONDA

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halamshauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Viongozi wa Kamati za Siasa wa Matawi Manne yaliyotoka Donge na Bumbwini kwenye Mikutano tofauti alipokwenda kujitambulisha akifafanua azma yake ya kutaka kugombea Jimbo Jipya la Mahonda nwa nafasi ya Uwakilishi. Mke wa Balozi Seif Mama Asha Suleiman Iddi akiwahamasisha wanawake wenzake kujitokeza kwa wingi wakati wa kupiga kura na kuichagua CCMiendelee kushika Dola na kulinda amani iliyopo nchini.

 

10 years ago

GPL

DK. KAMANI NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM

MBUNGE wa Jimbo la Busega (CCM), ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani (pichani) leo ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa jijini Mwanza. Dk.Kamani ametangaza nia katika mkutano wake uliofanyika kwenye Ukumbi wa Gandhi Memorial uliopo Nyamagana Jijini Mwanza.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mgana Izumbe Msindai, atangaza nia kuwania ubunge jimbo la Mkalama

DSC00166

Mwenyekiti CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai, akitangaza ni ya kugombea ubunge jimbo la Mkalama mkoa wa Singida kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kata ya Ibaga.

DSC00185

DSC00204

Sheikh wa mskiti wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama, Seleman Tumai, akitoa kero ya uhaba mkubwa wa maji safi unaosababisha wachangie maji na mifugo na wanayapori kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Mgana Msindai kutangaza nia ya kugombea ubunge Mkalama.

DSC00229

Mkazi wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama,...

 

10 years ago

Michuzi

KADA WA CCM ASSENGA ATANGAZA NIA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KILOMBERO

Kada wa CCM Abubakar Assenga akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kilombero, mbele ya ummati wa wananchi waliofurika katika Uwanja wa mpira wa Asante Afrika, Ifakara katika jimbo hilo mkoani Morogoro, jana. Picha na Bashir Nkoromo.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWANADI WAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA KIEMBE SAMAKI

Baadhi ya Wanachama wa CCM wa Majimbo ya Kiembe Samaki na Chukwani wakiwa katika mkutano wa Kampeni wa Kuwanadi Wagombea nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani wa Majimbo hayo uliohutubiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni ya CCM Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.  Balozi Seif akimnadi Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Kiembe Samaki kupitia Chama cha Mapinduzi Nd. Ibrahin Raza kwenye uwanja wa michezo hapo Kiembe Samaki Wilaya ya Magharibi “B”.
Balozi Seif akimnadi Mgombea nafasi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Iddi kugombea uwakilishi Mahonda

MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi akihutubia wanachama wa CCM.SIKU moja tu baada ya Tume ya Uchaguzi (ZEC) kutangaza mipaka ya majimbo mapya ya uchaguzi, baadhi ya viongozi wametangaza nia ya kuwania nafasi za Uwakilishi na Ubunge katika majimbo hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani