BALOZI SEIF AWANADI WAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA KIEMBE SAMAKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-LwSPfAk--4g/VhJxYPQEzpI/AAAAAAABJVI/2cI9z0k7HfY/s72-c/117.jpg)
Baadhi ya Wanachama wa CCM wa Majimbo ya Kiembe Samaki na Chukwani wakiwa katika mkutano wa Kampeni wa Kuwanadi Wagombea nafasi za Ubunge, Uwakilishi na Udiwani wa Majimbo hayo uliohutubiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni ya CCM Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
Balozi Seif akimnadi Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Kiembe Samaki kupitia Chama cha Mapinduzi Nd. Ibrahin Raza kwenye uwanja wa michezo hapo Kiembe Samaki Wilaya ya Magharibi “B”.
Balozi Seif akimnadi Mgombea nafasi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA TUNGUU KWA TIKETI CCM WANDAA BONANZA LA MICHEZO MBALIMBALI KWA WANAWAKE WA JIMBO HILO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-I3ieCzxK6AU/VaadayzVrRI/AAAAAAABCm4/I4TgUYNPOyA/s72-c/487.jpg)
BALOZI SEIF ACHUKUA FOMU KUWANIA UWAKILISHI JIMBO LA MAHONDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-I3ieCzxK6AU/VaadayzVrRI/AAAAAAABCm4/I4TgUYNPOyA/s640/487.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-I0Ps8smtyqo/VaadbDbfwQI/AAAAAAABCm8/L95mkRdYg_k/s640/490.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wA_LhheIfPo/VaadbYDc5XI/AAAAAAABCnA/EHh6H-QqyKc/s640/491.jpg)
11 years ago
GPLMWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI ATIMIZA AHADI KWA TIMU ZA JIMBO LAKE
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s72-c/961.jpg)
BALOZI SEIF ATANGAZA NIA YA KUWANIA UWAKILISHI KUPITIA JIMBO JIPYA LA MAHONDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s640/961.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Mwakilishi Jimbo la Kiembe Samaki atimiza ahadi za Kampeni
Mwakilishi wa Jimbo la Kiembe samaki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (wakatikati) wakiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Kiembe Samaki Ramadhan Mrisho wa kushoto, kulia Mwenyekiti wa Kamati ya michezo ya Jimbo hilo Juma Abdul-rabi kabla ya kukabidhi pesa taslim na vifaa vya michezo kwa timu za Jimbo hilo ikiwa ni ahadi aliyoitoa wakati wa kampeni zake hafla hiyo imefanyika katika Hoteli ya Ocean View Mjini Zanzibar.
Diwani wa Jimbo la Kiembe samaki Bw. Gharib Mohamed Addy akizungumza na...
10 years ago
MichuziMBATIA AWANADI WAGOMBEA WA CHAMA NCCR-MAGEUZI KATIKA JIMBO LA VUNJO
10 years ago
Vijimambo05 Jun
CUF yatangaza wagombea ubunge, uwakilishi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CUF-5June2015.jpg)
Chama cha Wananchi (CUF) kimetangaza majina ya wagombea ubunge na uwakilishi walioteuliwa na Baraza Kuu la chama hicho.
Baraza hilo lilikutana juzi jijini Dar es Salaam na kuchambua majina ya wagombea waliopitishwa kwenye kura za maoni katika majimbo mbalimbali nchini.
Wakati majina hayo yakitangazwa, baadhi ya wafuasi wa chama hicho wamelalamikia uteuzi huo kuwa haukuwa huru na haki.
Aidha, katika Jimbo la Mkanyageni, Pemba, wanachama wa chama hicho kwenye kura ya maoni ‘walimtema’ Mbunge wao...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s72-c/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA URAIS KUPITIA CHAMA CHA MAPINDUZI(CCM) SAMIA SULUHU HASSAN AWANADI WAGOMBEA UBUNGE WA MAJIMBO YA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6mH3tTDcF3Y/Vd08G9MIKiI/AAAAAAAAUQY/ItWtep7XvLs/s640/IMG_0264%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZANCVhmVC3g/Vd08jFlShcI/AAAAAAAAUQw/O9ult_vnwhY/s640/IMG_0267%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jKt778Kp6wM/Vd07-tsSRPI/AAAAAAAAUQE/xg2nwFPPqeA/s640/IMG_0244%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FdXwG-pIDAQ/Vd08uL9osuI/AAAAAAAAURg/ghCMslEWA-4/s640/IMG_0305%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qs_riFON9JI/Vd08vReXbGI/AAAAAAAAURs/Q1Jj65Hy8l4/s640/IMG_0306%2B%25281280x853%2529.jpg)