KADA WA CCM ASSENGA ATANGAZA NIA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tv8LQ2-9Ims/Vayk2eCD50I/AAAAAAAHqnM/URCRvMq0TRc/s72-c/1.%2BAkitangaza%2Bnia%2Bkuwania%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BKilombero.jpg)
Kada wa CCM Abubakar Assenga akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kilombero, mbele ya ummati wa wananchi waliofurika katika Uwanja wa mpira wa Asante Afrika, Ifakara katika jimbo hilo mkoani Morogoro, jana. Picha na Bashir Nkoromo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vItNE1yqzWM/Vax2QnhbGvI/AAAAAAAAxBk/hOaQRKXQR6U/s72-c/A.jpg)
KADA WA CCM ASSENGA ALITAKA JIMBO LA KILOMBERO
![](http://4.bp.blogspot.com/-vItNE1yqzWM/Vax2QnhbGvI/AAAAAAAAxBk/hOaQRKXQR6U/s640/A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EGcC36GZbDg/Vax2fBonF5I/AAAAAAAAxB0/1ZeoxWLL4wM/s640/B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9V9JGnuQSWg/Vax2bLfNrTI/AAAAAAAAxBs/AMrYcgG2D4U/s640/C.jpg)
10 years ago
VijimamboKADA WA CCM ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mgana Izumbe Msindai, atangaza nia kuwania ubunge jimbo la Mkalama
Mwenyekiti CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai, akitangaza ni ya kugombea ubunge jimbo la Mkalama mkoa wa Singida kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kata ya Ibaga.
Sheikh wa mskiti wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama, Seleman Tumai, akitoa kero ya uhaba mkubwa wa maji safi unaosababisha wachangie maji na mifugo na wanayapori kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Mgana Msindai kutangaza nia ya kugombea ubunge Mkalama.
Mkazi wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s72-c/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gFurnisjCA/VaAPZ9SbWyI/AAAAAAAAR_4/k7C2SL4xpOc/s640/E86A3219%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Hdz-n9BJrPk/VaAPZqL2-ZI/AAAAAAAAR_0/rIDfLnNY-OE/s640/E86A3224%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LAV7jKmCKM/VaAP-cwDcnI/AAAAAAAASBc/FH2cqmMCKBw/s72-c/E86A3273%2B%25281280x853%2529.jpg)
MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM, EDMUND RUTARAKA ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJIN
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LAV7jKmCKM/VaAP-cwDcnI/AAAAAAAASBc/FH2cqmMCKBw/s640/E86A3273%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiZwd2EYaj44FMs8NQKQI*txvVtqf0KCR1OsqIG250v*YUXwsmgkgX8rWiFFTUw4gEVGvwo5d0A*63ZXq*F0xhO/wemanamamayake.jpg)
WEMA SEPETU ATANGAZA NIA, KUWANIA UBUNGE WA VITI MAALUM SINGIDA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s72-c/961.jpg)
BALOZI SEIF ATANGAZA NIA YA KUWANIA UWAKILISHI KUPITIA JIMBO JIPYA LA MAHONDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dnp513BH3BM/VZqIxMVD2LI/AAAAAAABCBY/lYwlnzto-Uc/s640/961.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Kada CCM ajing’oa, kuwania ubunge kupitia Chadema
Mapokezi ya Fransico Kimasa Shejamabu (mwenye gwanda) akielekea katika viwanja vya shule ya msingi Pambalu wilayani Sengerema kuhutubia wananchi. (picha zote na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema).
Na Daniel Makaka, Sengerema.
Aliyekuwa kada wa wa Chama cha Mapinduzi CCM wilaya Sengerema mkoani Mwanza Bw. Fransico Kimasa Shejamabu ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)ambacho amejiunga nacho.
Kauli hiyo ameitoa mjini hapa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FNLyoeQ8W7M/VJVRkOFCFZI/AAAAAAAG4m0/puAAh11yKrk/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Mwanahabari Kibiki atangaza kuwania Ubunge jimbo la Iringa mjini
![](http://3.bp.blogspot.com/-FNLyoeQ8W7M/VJVRkOFCFZI/AAAAAAAG4m0/puAAh11yKrk/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Frank Kibiki, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Iringa mjini, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa Habari leo ofisini kwake, Kibiki amesema ni wakati wa vijana kushika hatamu kwa kuwania nafasi mbali mbali, ndani ya CCM na hatimaye kwenye umma wa watanzania.
Kibiki ambaye ni Katibu mwandamizi wa Umoja wa Vijana, katika wilaya mbali mbali nchini amesema ameamua kuomba kupitishwa nafasi...