Mwanahabari Kibiki atangaza kuwania Ubunge jimbo la Iringa mjini
![](http://3.bp.blogspot.com/-FNLyoeQ8W7M/VJVRkOFCFZI/AAAAAAAG4m0/puAAh11yKrk/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Na Fredy Mgunda,Iringa
MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, Frank Kibiki, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Iringa mjini, kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa Habari leo ofisini kwake, Kibiki amesema ni wakati wa vijana kushika hatamu kwa kuwania nafasi mbali mbali, ndani ya CCM na hatimaye kwenye umma wa watanzania.
Kibiki ambaye ni Katibu mwandamizi wa Umoja wa Vijana, katika wilaya mbali mbali nchini amesema ameamua kuomba kupitishwa nafasi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YLuC-Ax2HFo/VZuXdCm30TI/AAAAAAAABv4/FNaD3LbWPjU/s72-c/20150601_161420.jpg)
Mamia ya wana Iringa waendelea kumchangia Mwanahabari Kibiki achukue fomu ya Ubunge Iringa mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-YLuC-Ax2HFo/VZuXdCm30TI/AAAAAAAABv4/FNaD3LbWPjU/s400/20150601_161420.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tv8LQ2-9Ims/Vayk2eCD50I/AAAAAAAHqnM/URCRvMq0TRc/s72-c/1.%2BAkitangaza%2Bnia%2Bkuwania%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BKilombero.jpg)
KADA WA CCM ASSENGA ATANGAZA NIA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KILOMBERO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tv8LQ2-9Ims/Vayk2eCD50I/AAAAAAAHqnM/URCRvMq0TRc/s640/1.%2BAkitangaza%2Bnia%2Bkuwania%2Bubunge%2Bjimbo%2Bla%2BKilombero.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Mgana Izumbe Msindai, atangaza nia kuwania ubunge jimbo la Mkalama
Mwenyekiti CCM mkoa wa Singida, Mgana Izumbe Msindai, akitangaza ni ya kugombea ubunge jimbo la Mkalama mkoa wa Singida kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kata ya Ibaga.
Sheikh wa mskiti wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama, Seleman Tumai, akitoa kero ya uhaba mkubwa wa maji safi unaosababisha wachangie maji na mifugo na wanayapori kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya Mgana Msindai kutangaza nia ya kugombea ubunge Mkalama.
Mkazi wa kijiji cha Ibaga kata ya Mkalama,...
9 years ago
Dewji Blog31 Oct
Mfanyabiashara Davis Mosha atangaza kutogombea Ubunge jimbo la Moshi mjini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zKXFe75aiM4/VP09kACb-_I/AAAAAAAHIyo/Z4Fmf8Out5k/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Mdau Abdulaziz Ahmed ajitosa kuwania Ubunge Jimbo la Lindi Mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-zKXFe75aiM4/VP09kACb-_I/AAAAAAAHIyo/Z4Fmf8Out5k/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu,Mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Channel ten,Abdulaziz Ahmed leo Ametangaza nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Lindi mjini katika uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,Abdulaziz ambae pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Lindi alisema kuwa amefikia uamuzi huo baada ya kujitathimini na kugundua...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hrC63BHVKlE/VacP0mh4wNI/AAAAAAAASSU/C6V9O_O2BhA/s72-c/E86A6393%2B%25281280x853%2529.jpg)
DAVIS MOSHA ATANGAZA RASMI NIA YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hrC63BHVKlE/VacP0mh4wNI/AAAAAAAASSU/C6V9O_O2BhA/s640/E86A6393%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Bk-UlaNixQ/VacP0Kt3EVI/AAAAAAAASSY/R8maUDYdgms/s640/E86A6400%2B%25281280x853%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Mwenyekiti ACT taifa, Anna Mhgwira kuwania ubunge jimbo la Singida mjini
Kiongozi mkuu wa ATC Wazalendo, Kabwe Zitto, akihutubia baadhi ya wakazi wa mji wa Singida jana (6/8/2015) kwenye uwanja wa Peoples Club.Pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-13auukSeezE/VbMHM95oxpI/AAAAAAAASq8/bALIgq8T3No/s72-c/E86A7932%2B%25281280x853%2529.jpg)
CHADEMA MOSHI MJINI WAMPITISHA JAFARY MICHAEL KUWANIA UBUNGE WA JIMBO HILO
![](http://3.bp.blogspot.com/-13auukSeezE/VbMHM95oxpI/AAAAAAAASq8/bALIgq8T3No/s640/E86A7932%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9W7HXPT7y58/VbMG9cr2-JI/AAAAAAAASp0/vVznuyLrWhs/s640/E86A7718%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ePCVCJU5HEI/VbMHW87FwYI/AAAAAAAASrw/chsXpES53iI/s640/E86A7996%2B%25281280x853%2529.jpg)