Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yaendelea kuitesa Afrika Magharibi

Wakati ugonjwa wa ebola ulipovamia Kijiji cha Pujeh kilichopo nchini Sierra Leona, wanakijiji kama kawaida yao unapotokea ugonjwa wowote hukimbilia kwa mganga wa kienyeji: walikimbilia kwa mganga kutaka kujua tatizo, lakini hakuna aliyepona.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu yaendelea kutanda A.Magharibi

Kuna hofu kwamba mlipuko wa ugonjwa wa Ebola, katika kanda ya Afrika Magharibi, utaendelea kuwa mbaya sana hadi kanda hiyo itakapopata nafuu

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola kutokomezwa Afrika magharibi

Nchi za Afrika magharibi zimekubaliana kuweka mikakati ya pamoja kupambana na ugonjwa wa Ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa Afrika Magharibi

Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yapungua Afrika Magharibi:MSF

Mkuu wa shirika la madawa la kimataifa la madaktari wasio na mipaka MSF, Joanne Liu amesema mlipuko wa Ebola umepungua.

 

10 years ago

GPL

EBOLA BADO TISHIO AFRIKA MAGHARIBI

TAARIFA iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Afya Duniani (WHO), inaonyesha jinsi gonjwa hatari la Ebola linavyozidi kuangamiza wananchi katika eneo hilo. Agosti 22 mwaka huu, WHO walitoa taarifa kuwa, jumla ya wagonjwa walioripotiwa kuwa na Ebola ni 2,615 kwenye nchi nne za Afrika Magharibi ambapo kati yao 1,427 wamepoteza maisha kwa ugonjwa huo. Nchini Liberia ambapo ugonjwa huo ulianzia, wagonjwa 1,082 wameripotiwa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yapoteza ajira,Afrika Magharibi

Zaidi ya nusu ya raia wa Liberia waliokuwa na ajira mara baada ya mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola hawana ajira tena kwa sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi

MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.

 

10 years ago

Habarileo

Ebola waua watu 1,229 Afrika Magharibi

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limetangaza idadi ya watu waliokufa kwa ugonjwa hatari wa ebola katika nchi nne za magharibi mwa Afrika kuwa imefikia 1,229.

 

10 years ago

Mwananchi

Madaktari Watanzania waliokwenda kukabiliana na ebola Afrika Magharibi

Unaposikia ugonjwa wa ebola, ni sawa na kusikia sauti ya mauti. Ugonjwa huu ambao unaliandama eneo la Afrika Magharibi umesababisha vifo vya maelfu ya watu na hata kuuingiza ulimwengu kwenye wasiwasi mkubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani