UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU
Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo.
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.
Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.
Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.
Awali tume hiyo ilikuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*YwwIn1Cs4wSJ7UQX6-tbqPWXhJuhT06jd1tBJrjOtunDjEPQUJdnl8qEKqQBoxJ4V*jFVu3XOIPOLBNNnO7v5l/UCHAGUZI.jpg?width=650)
KISA BOKO HARAM, UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA WAAHIRISHWA
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Boko Haramu wazidi kuitesa Nigeria
9 years ago
Habarileo27 Oct
Uchaguzi Kwela waahirishwa
UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GssekkiJCGbuzvIL33L572e1fX4XhVxonLsEaYUTpMGm4JotpDA63N9s*urRhfAr0UXZTlq8yJ4tSB*wEQKIrzhZ/150629114355_burundi_elections_512x288_.jpg)
UCHAGUZI WA BURUNDI WAAHIRISHWA TENA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNN5QuorR9X2vXxdCZIjp3QziBjuoXVC6qkvj3XeAx1SJHNrvh6SFdaB4JkzhD*0EEt7OJ4aszTDwiGz4bkMaOp3/PIERRENKURUNZIZA.jpg?width=650)
UCHAGUZI WA RAIS NA WABUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA