UCHAGUZI WA BURUNDI WAAHIRISHWA TENA
![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GssekkiJCGbuzvIL33L572e1fX4XhVxonLsEaYUTpMGm4JotpDA63N9s*urRhfAr0UXZTlq8yJ4tSB*wEQKIrzhZ/150629114355_burundi_elections_512x288_.jpg)
Askari wakiimarisha ulinzi wakati wa uchaguzi wa wabunge nchini Burundi. Taaswira za hali ya amani nchini Burundi. Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi, Gervais Abayeho amesema kuwa, uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika julai 15 umeahirishwa tena kwa mara nyingine na badala yake utafanyika Julai 21 mwaka huu. Uchaguzi huo umekumbwa na utata baada ya makundi ya upinzani nchini humo kuandamana na kupinga hatua...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNN5QuorR9X2vXxdCZIjp3QziBjuoXVC6qkvj3XeAx1SJHNrvh6SFdaB4JkzhD*0EEt7OJ4aszTDwiGz4bkMaOp3/PIERRENKURUNZIZA.jpg?width=650)
UCHAGUZI WA RAIS NA WABUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA
9 years ago
Habarileo27 Oct
Uchaguzi Kwela waahirishwa
UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
10 years ago
Vijimambo08 Feb
UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU
![](http://api.ning.com/files/I0PaAyo4W*YwwIn1Cs4wSJ7UQX6-tbqPWXhJuhT06jd1tBJrjOtunDjEPQUJdnl8qEKqQBoxJ4V*jFVu3XOIPOLBNNnO7v5l/UCHAGUZI.jpg?width=650)
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.
Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.
Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.
Awali tume hiyo ilikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*YwwIn1Cs4wSJ7UQX6-tbqPWXhJuhT06jd1tBJrjOtunDjEPQUJdnl8qEKqQBoxJ4V*jFVu3XOIPOLBNNnO7v5l/UCHAGUZI.jpg?width=650)
KISA BOKO HARAM, UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA WAAHIRISHWA