Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KISA BOKO HARAM, UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA WAAHIRISHWA

Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo. TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama. Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu. Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU

Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo.
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.

Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.

Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.

Awali tume hiyo ilikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi kutokana na sababu za kiusalama.

 

11 years ago

BBC

Why Nigeria cannot defeat Boko Haram

Why Nigeria's army cannot defeat Boko Haram

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria yapuuza Boko Haram

Rais wa Nigeria amepuuza matakwa ya kundi la kiislam la Boko Haram lililotaka kubadilishana wafungwa kwa mateka

 

10 years ago

BBC

Nigeria and US to discuss Boko Haram

Nigeria's President Buhari is meeting his US counterpart, Barack Obama, in Washington to discuss Boko Haram and the recovery of stolen money from US bank accounts.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haram washambulia Nigeria

Wapiganaji wa kundi la Boko Haram, wanashukiwa kuhusika katika shambulizi jingine huko mji Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.

 

10 years ago

BBC

Boko Haram HQ in Nigeria 'retaken'

The Nigerian army says it has retaken the north-eastern town of Gwoza, believed to be the headquarters of Islamist militant group Boko Haram.

 

11 years ago

BBC

Nigeria 'in talks with Boko Haram'

Nigeria says it is still holding talking with Boko Haram, two weeks after the government said it had agreed a truce with the Islamist militant group.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tutawakabili Boko Haram:Nigeria

Msemaji wa rais wa Nigeria,Muhammadu Buhari,amesema amejipanga kupambana na kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani