Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
Uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Handeni mjini nchini Tanzania umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa eneo hilo Daktari Abdallah O Kigoda.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Nov
Uchaguzi Handeni, Arusha Mjini kufanyika Desemba 12
UCHAGUZI wa ubunge kwa majimbo ya Handeni na Arusha Mjini umepangwa kufanyika Desemba 12, mwaka huu.
9 years ago
MichuziNEC YATAOA TAMKO KUHUSU UCHAGUZI WA WABUNGE ARUSHA MJINI NA HANDENI.
9 years ago
Habarileo13 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge leo
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini mkoani Tanga, watafanya uchaguzi wa wabunge wao leo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo12 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge kesho
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini, watafanya uchaguzi wa wabunge wao kesho. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, alisema hayo jijini Dar es Salaam jana.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Uchaguzi Kwela waahirishwa
UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.
10 years ago
BBCSwahili01 Mar
Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GssekkiJCGbuzvIL33L572e1fX4XhVxonLsEaYUTpMGm4JotpDA63N9s*urRhfAr0UXZTlq8yJ4tSB*wEQKIrzhZ/150629114355_burundi_elections_512x288_.jpg)
UCHAGUZI WA BURUNDI WAAHIRISHWA TENA
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria