Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge leo
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini mkoani Tanga, watafanya uchaguzi wa wabunge wao leo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge kesho
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini, watafanya uchaguzi wa wabunge wao kesho. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, alisema hayo jijini Dar es Salaam jana.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Arusha, Handeni kuchagua wabunge wao leo
9 years ago
MichuziNEC YATAOA TAMKO KUHUSU UCHAGUZI WA WABUNGE ARUSHA MJINI NA HANDENI.
9 years ago
Habarileo02 Nov
Uchaguzi Handeni, Arusha Mjini kufanyika Desemba 12
UCHAGUZI wa ubunge kwa majimbo ya Handeni na Arusha Mjini umepangwa kufanyika Desemba 12, mwaka huu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MEmvx5sQgho/VRVwzL98uXI/AAAAAAAHNq4/1ulEgCyH9hM/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
WABUNGE WAPYA WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MEmvx5sQgho/VRVwzL98uXI/AAAAAAAHNq4/1ulEgCyH9hM/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cg_TuNNSKo4/VRVwzJxjkqI/AAAAAAAHNq0/PAyIcg9xQvo/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
11 years ago
Habarileo20 May
Malawi kuchagua Rais, wabunge leo
WANANCHI wa Malawi, leo wanapiga kura kuchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Kadhalika, watachagua wabunge na madiwani. Hii ni mara ya kwanza kwa wananchi wa Malawi kupiga kura tatu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s72-c/2.jpg)
HANDENI MJINI KURUDIA KURA ZA MAONI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s640/2.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...