WABUNGE WAPYA WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MEmvx5sQgho/VRVwzL98uXI/AAAAAAAHNq4/1ulEgCyH9hM/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dkt. Grace Puja akila kiapo ndani ya Ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma leo Machi 27, 2015.
Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Innocent Sebba akila kiapo ndani ya ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma leo Machi 27, 2015.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLKUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO, RIDHIWANI KIKWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA
11 years ago
Dewji Blog06 May
Ridhiwani Kikwete na Godfrey Mgimwa waapishwa rasmi Bungeni mjini Dodoma leo
Mbunge wa Kalenga, Godfrey mgimwa akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni mjini Dodoma Mei 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete akisindikizwa na wabunge wa CCM kuingia Bungeni Mjini Dodoma.
Spika wa Bunge,Anne Makinda na watendaji wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wakiimba wimbo waTaifa kabla ya shughuli za Bunge kuanza.
Mke Rais,Mama Salma Kikwete akiwa Bungeni Mjini Dodoma May 6,2014 wakati mwanae,Ridhiwani Kikwete...
11 years ago
MichuziTASWIRA KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO,RIDHIWANI KIKWETE NA GODFREY MGIMWA WAAPISHWA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VP18IrdhRvw/VQhTjqgqiCI/AAAAAAAHLFE/LxYr-4Px1Lg/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MAFUNZO YA WAKUU WAPYA WA WILAYA,MJINI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-VP18IrdhRvw/VQhTjqgqiCI/AAAAAAAHLFE/LxYr-4Px1Lg/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XKuYm8FtiWk/VQhTjbrRgGI/AAAAAAAHLE8/a0uBkYRo2lQ/s1600/unnamed%2B(28).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TyyM5nxzSxI/Vk2TJuJe8hI/AAAAAAAIGxc/X3iRSkMpi-M/s72-c/20151119010139.jpg)
LIVE KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO: WABUNGE WALIPIGIA KURA JINA LA WAZIRI MKUU MKUU MTEULE
![](http://1.bp.blogspot.com/-TyyM5nxzSxI/Vk2TJuJe8hI/AAAAAAAIGxc/X3iRSkMpi-M/s640/20151119010139.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-av8vBAUHDd8/Vk2ROv1DC0I/AAAAAAAIGwA/A5_pKuAlqag/s640/20151119010428.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WCd5XojxOHM/Vk2ROsOC44I/AAAAAAAIGv8/xy76_vB_dXg/s640/20151119010513.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3A78qlmYt8E/Vk2RPlNb_cI/AAAAAAAIGwM/E2bGJ_67cXk/s640/20151119010522.jpg)
9 years ago
Habarileo13 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge leo
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini mkoani Tanga, watafanya uchaguzi wa wabunge wao leo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPL24 Jan