NEC YATAOA TAMKO KUHUSU UCHAGUZI WA WABUNGE ARUSHA MJINI NA HANDENI.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa wabunge unaotarajiwa kufanyika Tarehe 13/12/2015 katika jimbo Handeni na Arusha Mjini, (kushoto) ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura Bw.Clarence Nanyaro kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo12 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge kesho
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini, watafanya uchaguzi wa wabunge wao kesho. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, alisema hayo jijini Dar es Salaam jana.
9 years ago
Habarileo13 Dec
Arusha Mjini, Handeni Mjini kuchagua wabunge leo
WANANCHI katika majimbo ya Arusha Mjini na Handeni Mjini mkoani Tanga, watafanya uchaguzi wa wabunge wao leo. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva, jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo02 Nov
Uchaguzi Handeni, Arusha Mjini kufanyika Desemba 12
UCHAGUZI wa ubunge kwa majimbo ya Handeni na Arusha Mjini umepangwa kufanyika Desemba 12, mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Arusha, Handeni kuchagua wabunge wao leo
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-IEShvcQsRxI/VlWKiedUuPI/AAAAAAAA1S8/_JUfl1WZS70/s72-c/1.jpg)
JUKWAA HURU LA WAZALENDO LATOA TAMKO KUHUSU RAIS DK. MAGUFULI NA WABUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-IEShvcQsRxI/VlWKiedUuPI/AAAAAAAA1S8/_JUfl1WZS70/s640/1.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ac5AYlNgM9o/VjDrVxtvHBI/AAAAAAABYOI/rRKDALR-qxA/s72-c/1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Aug
Tamko la FEMACT kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015
Mkurugenzi Mtendaji wa mtandao wa TGNP, Mratibu wa FEMACT, Lilian Liundi.
Tamko la femact kuhusu uchaguzi mkuu 2015