Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri
Tume ya uchaguzi yabadilisha ratiba ya uchaguzi wa wabunge kufuatia uamuzi wa mahakama
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Misri yatangaza tarehe uchaguzi wa bunge
Mamlaka ya uchaguzi nchini Misri imesema kuwa uchaguzi wa wabunge nchini humo unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba na Novemba mwaka huu.
9 years ago
Habarileo27 Oct
Uchaguzi Kwela waahirishwa
UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GssekkiJCGbuzvIL33L572e1fX4XhVxonLsEaYUTpMGm4JotpDA63N9s*urRhfAr0UXZTlq8yJ4tSB*wEQKIrzhZ/150629114355_burundi_elections_512x288_.jpg)
UCHAGUZI WA BURUNDI WAAHIRISHWA TENA
Askari wakiimarisha ulinzi wakati wa uchaguzi wa wabunge nchini Burundi. Taaswira za hali ya amani nchini Burundi. Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi, Gervais Abayeho amesema kuwa, uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika julai 15 umeahirishwa tena kwa mara nyingine na badala yake utafanyika Julai 21 mwaka huu. Uchaguzi huo umekumbwa na utata baada ya makundi ya upinzani nchini humo kuandamana na kupinga hatua...
10 years ago
BBCSwahili08 Feb
Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria
Tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi kutokana na sababu za kiusalama.
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ
Uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Handeni mjini nchini Tanzania umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa eneo hilo Daktari Abdallah O Kigoda.
10 years ago
BBCSwahili11 Jul
Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena
Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amesema uchaguzi utafanyika tarehe 21 Julai.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNN5QuorR9X2vXxdCZIjp3QziBjuoXVC6qkvj3XeAx1SJHNrvh6SFdaB4JkzhD*0EEt7OJ4aszTDwiGz4bkMaOp3/PIERRENKURUNZIZA.jpg?width=650)
UCHAGUZI WA RAIS NA WABUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza. SERIKALI ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa Rais na Wabunge uliotarajiwa kufanyika mwezi huu umeahirishwa mpaka tarehe nyingine zitakazotangazwa. Vurugu Burundi. Msemaji wa Rais Nkurunziza, Wily Nyamitwe amesema kuwa tarehe hizo zitapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo hivi karibuni. Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye machafuko tangu Rais Piere...
10 years ago
Vijimambo08 Feb
UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU
![](http://api.ning.com/files/I0PaAyo4W*YwwIn1Cs4wSJ7UQX6-tbqPWXhJuhT06jd1tBJrjOtunDjEPQUJdnl8qEKqQBoxJ4V*jFVu3XOIPOLBNNnO7v5l/UCHAGUZI.jpg?width=650)
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.
Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.
Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.
Awali tume hiyo ilikuwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*YwwIn1Cs4wSJ7UQX6-tbqPWXhJuhT06jd1tBJrjOtunDjEPQUJdnl8qEKqQBoxJ4V*jFVu3XOIPOLBNNnO7v5l/UCHAGUZI.jpg?width=650)
KISA BOKO HARAM, UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA WAAHIRISHWA
Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo. TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama. Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu. Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania