Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Kwela waahirishwa

UCHAGUZI wa ubunge katika Jimbo la Kwela wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa umeahirishwa kutokana na wananchi wa kata ya Milepa jimboni humo kushindwa kupiga kura baada ya vifaa vyote vya kupigia kura kuteketezwa kwa moto.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi mkuu waahirishwa Nigeria

Tume ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi kutokana na sababu za kiusalama.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA BURUNDI WAAHIRISHWA TENA

Askari wakiimarisha ulinzi wakati wa uchaguzi wa wabunge nchini Burundi. Taaswira za hali ya amani nchini Burundi. Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi, Gervais Abayeho amesema kuwa, uchaguzi wa rais nchini humo uliopangwa kufanyika julai 15 umeahirishwa tena kwa mara nyingine na badala yake utafanyika Julai 21 mwaka huu. Uchaguzi huo umekumbwa na utata baada ya makundi ya upinzani nchini humo kuandamana na kupinga hatua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa bunge waahirishwa Misri

Tume ya uchaguzi yabadilisha ratiba ya uchaguzi wa wabunge kufuatia uamuzi wa mahakama

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Uchaguzi waahirishwa tena

Msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amesema uchaguzi utafanyika tarehe 21 Julai.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Handeni mjini waahirishwa TZ

Uchaguzi wa ubunge katika jimbo la Handeni mjini nchini Tanzania umeahirishwa kufuatia kifo cha mgombea wa eneo hilo Daktari Abdallah O Kigoda.

 

10 years ago

GPL

UCHAGUZI WA RAIS NA WABUNGE BURUNDI WAAHIRISHWA

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza. SERIKALI ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa Rais na Wabunge uliotarajiwa kufanyika mwezi huu umeahirishwa mpaka tarehe nyingine zitakazotangazwa. Vurugu Burundi. Msemaji wa Rais Nkurunziza, Wily Nyamitwe amesema kuwa tarehe hizo zitapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo hivi karibuni. Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye machafuko tangu Rais Piere...

 

10 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU

Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo.
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.

Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.

Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.

Awali tume hiyo ilikuwa...

 

10 years ago

GPL

KISA BOKO HARAM, UCHAGUZI MKUU NCHINI NIGERIA WAAHIRISHWA

Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo. TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama. Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu. Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani