Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Boko Haramu wajisalimisha kwa IS.

Kundi la wanamgambo wa kiislam la Islamic State limekubaliana na kiapo cha utii kutoka kwa kikundi cha Nigeria cha Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Boko Haram wajisalimisha

Wanachama 200 wa kundi la wapiganaji wa Kiislamu la Boko Haram wamejisalimisha, jeshi la Nigeria limesema.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Boko Haram wajisalimisha

Wafuasi wa Boko Haram zaidi ya 260 wajisalimisha nchini Nigeria

 

10 years ago

GPL

MATEKA 27 WAACHIWA NA BOKO HARAMU

Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya. Rais wa Cameroon, Rais wa Cameroon, Chantal Biya leo amesema mateka 27 wakiwemo raia 10 wa China na mke wa naibu waziri mkuu wa nchi hiyo wameachiwa na Kundi la Boko Haram. (CREDIT: BBC SWAHILI)

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko Haramu wazidi kuitesa Nigeria

Boko Haramu waukaribia mji wa Mubi ulioko kaskazini mashariki mwa mji mkuu Nigeria.

 

10 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI NIGERIA WAAHIRISHWA KUHOFIA BOKO HARAMU

Wananchi wakiwa na mabango ya kupinga kuahirishwa kwa uchaguzi huo.
TUME ya uchaguzi nchini Nigeria imeahirisha uchaguzi mkuu ambao ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi huu kutokana na sababu za kiusalama.

Uchaguzi huo sasa utafanyika Machi 28 mwaka huu.

Mkuu wa tume hiyo Attahiru Jega alisema kuwa amejulishwa na maofisa wa usalama kuwa wanajeshi hawatakuwepo kulinda vituo vya kupigia kura kwa kuwa watakuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi.

Awali tume hiyo ilikuwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo wajisalimisha kwa Rais Magufuli

magufuli1_55a2dfc75cd8d*Ni wa makampuni yaliyochota Sh bil 300 za CIS

*Zitto kabwe aibuka, aanika madudu ya Hazina

SHABANI MATUTU NA FLORIAN MASINDE

SIKU moja baada ya Serikali kuzitaka kampuni 980 zinazodaiwa fedha zilizotolewa na wahisani chini ya Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS), baadhi ya vigogo wameanza kujisalimisha kwa Serikali ya Rais John Magufuli.

Hatua hiyo imetokana na mpango wa Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, kuwataka wafanyabiashara  wakubwa waliochota...

 

10 years ago

GPL

KAMANDA MKUU WA BOKO HARAMU AUAWA, NGOME YAO YASAMBALATISHWA

Meja Jenerali Chris Olukolade. Msemaji wa jeshi la Nigeria amesema kuwa, vikosi vya nchi hiyo vimemuua kamanda wa ngazi za juu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram. Meja Jenerali Chris Olukolade amesema kuwa, Abu Mojahid kamanda wa ngazi za juu wa kundi la Boko Haram ameuawa katika mapigano kati ya jeshi la Nigeria na wapiganaji wa kundi hilo kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Msemaji wa jeshi la Nigeria ameongeza kuwa,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia

SAM_0161

Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.

SAM_0148

Ofisa Uvuvi Mfawidhi Kituo cha kuendeleza ufugaji samaki kanda ya kati, Bwana Renatus Charles Karumbete akitoa maelezo ya namna samaki wanavyozalishwa katika kituo hicho.

Na. Jumbe Ismailly

[IGUNGA] Kituo  cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 19 wa LRA wajisalimisha

Jeshi la Uganda linadai kuwa limewakamata waasi 19 wa LRA na kumuua kamanda mmoja kwa jina Kanali Samuel Kangul.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani